Kufuatana na hali ya kiu salama ilivyo tete hivi sasa nchini kuna kila sababu ya kuimalisha ulinzi wa watu muhimu kwa Taifa letu hasa hasa mzee Warioba.
Nasema hivi kuwa hali ya kiusalama kuwa tete kutokana na vitendo vya kihalifu vilivyowapata watu wengi hivi karibuni akiwemo father Kitima! Cha kushangaza katika matukio yote haya polisi wanajifanya hawana habari ingawa ushahidi wa kimazingira unaonesha kuhusika kwao! Mfano ni taarifa ya kutekwa kwa Mdude Nyagali Kule Mbeya na kumuumiza vibaya na polisi wakisema hawahusiki ili hali kuna ushahidi kuwa wao walihusika! Taarifa ya polisi juu Mazingira ya kushambuliwa kwa Rev. Kitima jinsi ilivyopotoshwa inaonesha wazi kuwa polisi wanaficha ukweli wa tukio hilo.
Kufuatana na mwenendo wa serikali na vyombo vya dola hasa polisi ni wazi kwamba wananchi hawatapata haki nchini mwao hivyo ni wajibu wao kujilinda ili kupata haki yao!
Mzee Warioba anastahili ulinzi zaidi kwani ccm na serikali yake Sidhani kama watatimiza jukumu hilo kwani hata huko nyuma kwa msimamo wake wa haki walimtumia Makonda kumshambulia alipokuwa anatoa mhadhara kuhusu katiba mpya. Kwa mukutadha huo huo ningemuomba Mzee Warioba azatiti ulinzi wake na asitehemee serikali ya Samia hawaaminiki wamekuwa majambazi!
Nasema hivi kuwa hali ya kiusalama kuwa tete kutokana na vitendo vya kihalifu vilivyowapata watu wengi hivi karibuni akiwemo father Kitima! Cha kushangaza katika matukio yote haya polisi wanajifanya hawana habari ingawa ushahidi wa kimazingira unaonesha kuhusika kwao! Mfano ni taarifa ya kutekwa kwa Mdude Nyagali Kule Mbeya na kumuumiza vibaya na polisi wakisema hawahusiki ili hali kuna ushahidi kuwa wao walihusika! Taarifa ya polisi juu Mazingira ya kushambuliwa kwa Rev. Kitima jinsi ilivyopotoshwa inaonesha wazi kuwa polisi wanaficha ukweli wa tukio hilo.
Kufuatana na mwenendo wa serikali na vyombo vya dola hasa polisi ni wazi kwamba wananchi hawatapata haki nchini mwao hivyo ni wajibu wao kujilinda ili kupata haki yao!
Mzee Warioba anastahili ulinzi zaidi kwani ccm na serikali yake Sidhani kama watatimiza jukumu hilo kwani hata huko nyuma kwa msimamo wake wa haki walimtumia Makonda kumshambulia alipokuwa anatoa mhadhara kuhusu katiba mpya. Kwa mukutadha huo huo ningemuomba Mzee Warioba azatiti ulinzi wake na asitehemee serikali ya Samia hawaaminiki wamekuwa majambazi!