imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,436
Sitoshangaa na Mufti wa Bakwata nae akisema tuziombee Tozo.Hawa ndio wale waliosetiwa kuanza kuzipamba tozo kwa manufaa ya serikali.
Ngoja hao waumini wenu wakose sadaka za kuwatolea kwenye vijiwe vyenu ndio mtapata akili.