Wajinga ndo waliwao,hamjajifunza kwa Kakobe tu?
Ujue kuna vitu vingine havihitaji hata shule ni akili tu ya kawaida, mfano unaenda kuungama dh@mbi kwa m/damu mwenzako au huyo Nabii anaoteshwa na Mungu na anapiga mnada kitu flani kwa bei ya juu na atakaenunua anasamehewa dhambi zake...
Mtabaki hivyohivyo wajanja wa miujiza ya Nigeria wanaendesha Hummer.