drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 295
Jamani, judge-not!
Hamuwezi kujua kuwa yeye mwenyewe amepata madhara gani!
Kwani madereva wote wanaokimbia baada ya ajali huwa ni makusudi?
wengine ni kuchanganyikiwa, kitu ambacho nahisi yeye pia kimemkumba...usiombe kuona damu ya binadamu inachuruzika ndugu yangu..Ni kimbembe ati.
Mi sitamhukumu hadi nilipate tukio full la kiuchunguzi...
Ahsanteni.
labda ana leseni au alisahau upako om