Mzee wa Upako adai yeye ndiye anazuia mvua Dar

Jana katika Ibada mchungaji Antoni Lusekelo aka mzee wa upako amedai kuwa mvua Dar haitanyesha hadi ujenzi wa barabara inayojengwa kuelekea kanisani kwake ikamilike

Aliongeza akitamba kwamba yeye ana Mungu japo watu wanamzushia maneno

Nashauri mamlaka ya hali ya hewa imtumie huyu jamaa labda atasaidia kuleta mvua sehemu kame

Kazi kweli kweli hawa wachangiaji wenye a. k. a nimewavulia kofia
Vipi mkuu amezungumzia siku ya yeye kwenda kupika piwa? Maana mwandishi, aliyedai kamzushia hajafa
 
Jana katika Ibada mchungaji Antoni Lusekelo aka mzee wa upako amedai kuwa mvua Dar haitanyesha hadi ujenzi wa barabara inayojengwa kuelekea kanisani kwake ikamilike

Aliongeza akitamba kwamba yeye ana Mungu japo watu wanamzushia maneno

Nashauri mamlaka ya hali ya hewa imtumie huyu jamaa labda atasaidia kuleta mvua sehemu kame

Kazi kweli kweli hawa wachangiaji wenye a. k. a nimewavulia kofia
Una uhakika gani kama aliyasema hayo akiwa mzima au amekunywa jibapa?
 
Makonda hawa ndo watu anaotakiwa kuwaondoa katika mkoa wake,
 
Jana katika Ibada mchungaji Antoni Lusekelo aka mzee wa upako amedai kuwa mvua Dar haitanyesha hadi ujenzi wa barabara inayojengwa kuelekea kanisani kwake ikamilike

Aliongeza akitamba kwamba yeye ana Mungu japo watu wanamzushia maneno

Nashauri mamlaka ya hali ya hewa imtumie huyu jamaa labda atasaidia kuleta mvua sehemu kame

Kazi kweli kweli hawa wachangiaji wenye a. k. a nimewavulia kofia
tangia nione clip yake anamtukana yule mama namuona mlevi tu
 
Waziri mkuu kupiga marufuku viroba kafanya jambo la msingi sana.
Bapa.jpg

Altenative ipo
 
Back
Top Bottom