Nimepata habari ya kutatanisha kuwa moja wa wazeee waliolala barabarani amefariki baada ya purukushani na polisi. Naomba mwenye taarifa zaidi na za uhakika atuletee.
Alikuwa mgonjwa ama misuko suko na wazee wa dola? Kama ni kweli Mungu amrehemu mzee wetu na pole kwa wafiwa. Mzee amekufa kishujaa akidai haki yake