Mzee wa chabo...

Hahahahaaaaa!!! Dah!!! Madhara ya kukulia kwenye nyumba za kota hayo!!!! Nakumbuka miaka ya tisini kuanzia tulipofika darasa la nne hadi la saba ilikuwa ndiyo tabia yetu sana pale Line polisi Moshi!!!!

Tukishakula msosi wa usiku kuna eneo tulikuwa tunakutana tunapiga story mpaka mida ya saa nne za usiku tunaanza kuzunguka kota moja hadi nyingine kupiga chabo!!! Tulikuwa tunakuwa kundi la watoto wengi then tunagawanyika, badae tunakutana kama kupeana ripoti ya tulichoona!!!

Ni mchezo mchafu na wa aibu sitaki hata kuukumbuka, ila kuna vinara ambao kama kuacha waache miaka ya karibuni!!! Nadhani mchezo uliwaingia damuni
 
watu wa dizain hizi wakati mwingine sio chabo ila ni tabia za wizi ' kuna jamaa mmoja pale kigogo dar apumzike sehemu mbaya kwenye banda la nguruwe alikuwa na tabia ya aina hii mwanzo watu walifikiri ni chabo ila wakaja baini kwamba jamaa ni kibaka alianza kwa kutanua nyavu za madirisha ya gest na baadae wanaingiza kile kitu kama neti ya kuchezea mpira wa kikapu wenyewe wanaita air jodan anavuta kama ni simu iko mezania inadumbukizwa mule anavutia dirishani anachukua na suruali kama umetundika mlangoni kuweni nae makini kwa nn asiwe anaangalia x kama ni ufundi?
 

X sio kitu, mambo yote live bana.....chabo ina ladha yake!!!!!!!!
 
he needs psychotherapy bcoz hiyo ni sexual disorder inamsumbua. Hata mkimmwagia maji ya moto usoni akipona atarudia tuu.
 
hata mi huwa napiga chabo ila mwanamke awe na Mata**ko makubwa ndo inanoga zaid
 

Koma kuwaita watu GOLIKIPA.. Tena Koma kabisaaaa.. Wewe Kama mkeo mnatok.. Ah niachie hapo nsijepigwaban
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…