Mnafiki mkubwa hana jipya zaidi ya kuwatukana viongoz wa dini.Waziri wa Uchukuzi, Mzee Samwel Sitta leo saa tano na nusu asubuhi ataongea na waandishi wa habari ofisini kwake kumaliza mzizi wa fitna ndani ya wizara yake, msemaji wake James Rock Mwakibinga amesema. Ujumbe kamili wa msemaji huyo wa Mzee wa Kasi na Viwango unasomeka:
"Ndgu.Mwandishi, kwa nafasi yako wewe ya kipekee unaombwa kufika Wizara ya Uchukuzi leo siku ya Jumapili trh 29/3 kuanzia saa 5 na 30 asbh ,Waziri wa Uchukuzi Mh.Samuel Sitta atazungumza na waandishi wa habari. Ukipata ujumbe huu naomba unijulishe. Ni Mimi James Rock Mwakibinga"
Kichwa cha habari kingekuwa "Kubweka ofisini kwake", si kuunguruma.kutoka mzee wa viwango mpaka kuungurumia ofisini dah. Si aende jangwa kuunguruma km yeye ni mwanaume ? Na bado anatumika kulinda mafisadi bandari
Waziri wa Uchukuzi, Mzee Samwel Sitta leo saa tano na nusu asubuhi ataongea na waandishi wa habari ofisini kwake kumaliza mzizi wa fitna ndani ya wizara yake, msemaji wake James Rock Mwakibinga amesema. Ujumbe kamili wa msemaji huyo wa Mzee wa Kasi na Viwango unasomeka:
"Ndgu.Mwandishi, kwa nafasi yako wewe ya kipekee unaombwa kufika Wizara ya Uchukuzi leo siku ya Jumapili trh 29/3 kuanzia saa 5 na 30 asbh ,Waziri wa Uchukuzi Mh.Samuel Sitta atazungumza na waandishi wa habari. Ukipata ujumbe huu naomba unijulishe. Ni Mimi James Rock Mwakibinga"
Kwani kuna mtu umemwajiri hapa pambaf!!!!!Wewe uliyeanzisha mada mbona hutujuzi kinachoendelea?
Harafu ni kuunguruma gani ofisini?...ataunguruma kama fisi au kama trekta, fafanua muungurumo gani tujiandae kuziba masikio maana hana cha maana ....