Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Mimi kama mzee mjuvi wa mambo najua umuhimu wa saikolojia kwenye mapambano. Bondia akiingia ulingoni huku anajua anaenda kushindwa tambua huyo hayuko sawa kisaikolojia. Maana atafanya vituko ulingoni,mnaweza kukuta anamg'ata mpinzani wake.
Hiki ndio kinachotokea hapa Tanzania. Lissu na chama chake walijua kuwa hawawezi kushinda urais na hata ubunge watapata kwa mbinde. Na sasa ndio tunashuhudia rafu na faulo ambazo zinaonyesha hawakuingia kupata ushindi,bali walijua watashindwa hivyo waanze faulo na rafu zisizo na maana ili mradi kuvuruga uchaguzi.
Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda uanze kutishia kupeleka watu the Hague?
Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda urais umtishie OCD kuwa utampandisha kwenye karandinga? Hii yote ni dalili kuwa Lissu alijua hawezi kushinda ila aliingia ili afanye faulo na vitisho kama hivi, maana kama una uhakika wa kushinda huwezi kutabiri vurugu.
Mbaya zaidi ni hili la kudanganya kuwa utafuta sheria zinazokandamiza uhuru wa kutoa maoni. Mbona hata Usa tunaona wanatunga sheria kudhibiti watu wanaotumia vibaya haki ya kujieleza!
Na hili la kusema utafuta ushuru wa vitambulisho vya wajasiriamali wadogo ina maana unataka kuturudisha kuwa tunalipa sh 500 kwa siku ambayo ni 15000 kwa mwezi?
Hili limekunyima kura kwa wajasiria mali wadogo kama mimi muuza kahawa. Na mimi nasema uligombea urais ukijua huna sifa,na huwezi kushinda ila umekuja kuleta faulo na vurugu kwenye uchaguzi.
Hiki ndio kinachotokea hapa Tanzania. Lissu na chama chake walijua kuwa hawawezi kushinda urais na hata ubunge watapata kwa mbinde. Na sasa ndio tunashuhudia rafu na faulo ambazo zinaonyesha hawakuingia kupata ushindi,bali walijua watashindwa hivyo waanze faulo na rafu zisizo na maana ili mradi kuvuruga uchaguzi.
Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda uanze kutishia kupeleka watu the Hague?
Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda urais umtishie OCD kuwa utampandisha kwenye karandinga? Hii yote ni dalili kuwa Lissu alijua hawezi kushinda ila aliingia ili afanye faulo na vitisho kama hivi, maana kama una uhakika wa kushinda huwezi kutabiri vurugu.
Mbaya zaidi ni hili la kudanganya kuwa utafuta sheria zinazokandamiza uhuru wa kutoa maoni. Mbona hata Usa tunaona wanatunga sheria kudhibiti watu wanaotumia vibaya haki ya kujieleza!
Na hili la kusema utafuta ushuru wa vitambulisho vya wajasiriamali wadogo ina maana unataka kuturudisha kuwa tunalipa sh 500 kwa siku ambayo ni 15000 kwa mwezi?
Hili limekunyima kura kwa wajasiria mali wadogo kama mimi muuza kahawa. Na mimi nasema uligombea urais ukijua huna sifa,na huwezi kushinda ila umekuja kuleta faulo na vurugu kwenye uchaguzi.