COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
Mzee anasema isingekuwa katiba ya nchi kuruhusu only 10 years ya kuwa Rais, yeye angependekeza Magufuli atawale muda wote bila ukomo. Kasema barrier ni Katiba ya nchi.
MY TAKE: Mzee ruksa amesahau kwamba nchi hii inawatu wazuri wenye vipaji zaidi ya JPM vya kuwa marais. Kama mfumo wa kutafuta marais ungekuwa wa haki na uwazi, Tanzania ina best presidential candidates kuliko hata huyu baba Jesca.
MY TAKE: Mzee ruksa amesahau kwamba nchi hii inawatu wazuri wenye vipaji zaidi ya JPM vya kuwa marais. Kama mfumo wa kutafuta marais ungekuwa wa haki na uwazi, Tanzania ina best presidential candidates kuliko hata huyu baba Jesca.