Mzee ruksa awalipua viongozi mafisadi

Wanapiga Kampeni kuelekea kwenye uchanguzi mkuu Mwakani, Sijaona hapa kwanini alikuwa kimnya kipindi chote hicho
 
waliamua tu kukaa kimya lakini walikuwa wanajua kila kitu,wameamshwa na akina slaa......karibu mzee mwinyi tuwapige vita hawa jamaa....
 
Wewe unavyofikiria kuwa wanapiga vita dhidi ya ufisadi??au ni Vita dhidi ya Makundi
 
wasije wakakusikia watz mzee......nyerere aliamoni zaidi katika kuondo kwanza ujinga ili watz wasidanganywe pindi wanaposaini mikataba.......unamshukuru nini mwinyi?kwa kuiuza nchi?maana nae alikuwa na skandali kibao japo tumeamua tum kuzichunia.......
Nazungumzia foundation aliyotuachia; kama Freedom, nk. Hakuna hata sera moja ya Nyerere inaoyofuatwa TZ. Hii system tunaoitumia (free market, democracy) TZ imeanzishwa na Mwinyi aka "Mzee Ruksa". Kwa hiyo, ukiangalia kiundani Mwinyi ndiyo G. Washington hata kama alikuwa rais wa pili.
 
mwinyi tumwache apumzike kama alivyosema jk.......sijui alikuwa wapi siku zote.....baadae tutamsikia mkapa tusubili muda waja......
 
Kama naye akianza kusema na kuwaasa Wana CCM mwezake juu ya yale mambo ambayo mwezake wanasema basi ataanzwa kuulizwa maswali kadhaa
 
Huyu mzee hata kukusanya kodi tuu ilikuwa inamshinda mpaka wakakata misaada kulazimishwa akusanye kodi kwanza,yaani rushwa na ufisadi enzi zake ulikuwa ndio order of the day then leo say what?huyu mzee kwa style yake alijenga matabaka ya maskini na mafisadi matajiri na hatari yake watu wangeweza kuingia msituni,kipindi chake kuulikuwa hakuna haki kuanzia polisi,mahakamani na idara zote za serikali yaani mwenye nazo ndio alikuwa na haki,kupata passport tuu ilikuwa lazima utoe rushwa,bandarini kulikuwa kumeoza,tulilishwa vyakula vibovu vyenye sumu,polisi waligeuka wafanyabiashara,serikali ilikuwa ni miradi ya watu,kulikuwa hakuna sheria wakati wake ilikuwa ni ufisadi tuu anyway tunaangalia mbele na mchango wake unakaribishwa kupambana na mafisadi kama ana nia hiyo kweli!
 
Yeye mwenyewe fisadi huyu kamlipua nani, Mkapa alipoingia madarakani tuliundiwa tume ya jaji Warioba kuchunguza ufisadi katika serikali ya awamu ya pili matokeo yake ndo yale yale kulindana tuuu.
 
wasije wakakusikia watz mzee......nyerere aliamoni zaidi katika kuondo kwanza ujinga ili watz wasidanganywe pindi wanaposaini mikataba.......unamshukuru nini mwinyi?kwa kuiuza nchi?maana nae alikuwa na skandali kibao japo tumeamua tum kuzichunia.......

Ktk Marais wanne tulio nao hadi sasa hakuna aliyefaulu hata 1% wote ni totally failed , nakuendelea kufuatiliza nyenendo za kati yao tutazama totally.
 
Back
Top Bottom