Mzee ndo kama ulivyosikia!

Mzee ndo kama ulivyosikia!

Landcruser

Senior Member
Joined
Mar 24, 2017
Posts
179
Reaction score
344
Nadhani mpiga picha ni mtu wa Ikulu.
IMG-20170901-WA0002.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kila kona kuna paparazi mtu ukileta utumbo tu wanakunasa.
 
Nipo upande wa Uhuru Kenyatta, lakini nikiwa lawyer nimefurahishwa na jurisprudence na uhuru wa maamuzi ya mahakama ya Kenya. Tanzania mahakama yetu ya rufaa imepoteza dira kabisa, ipo busy ku deal na technicality badala ya hoja za mgogoro husika. Out of 100 decisions of Tz court of Appeal decisions, only 8 or less is on merit, the rest are on a very stupidy technicality!! Hata kabla ya uamuzi wa leo wa Kenyani Case nilishasoma kesi nyingi za Kenya ambazo zina akili ya kutosha. Hapa tz court of appeal ilikuwa zamani na si sasa kwa hawa wavivu wa kupambanua mambo
 
Back
Top Bottom