britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Na hiyo itatumaliza kabisaKatika vitu nilivyompuuza navyo JK na genge lake ni kitendo cha kumtengenezea zengwe huyo mzee ambaye alikuwa tunu adimu ya taifa hili. Kundi la kina JK ndio lilikuwa kundi la uasisi wa gutter politics hapa nchini, na Salim alikuwa muhanga namba 1 wa siasa zile.