TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,958
- 11,351
Dah hongera Kwa kulipa na kupewa kipawa cha kashfa Kwa wengineNalipa kodi ....
Yale maburungutu uliyoona Magu anagawa kwenye ziara ulidhani anatoa wapi??
Umebarikiwa sana
Dah hongera Kwa kulipa na kupewa kipawa cha kashfa Kwa wengineNalipa kodi ....
Yale maburungutu uliyoona Magu anagawa kwenye ziara ulidhani anatoa wapi??
Kukashfu siyo mbaya, at least sijaua watu wasio na hatiaDah hongera Kwa kulipa na kupewa kipawa cha kashfa Kwa wengine
Umebarikiwa sana
Two wrongs don't make it right nduguKukashfu siyo mbaya, at least sijaua watu wasio na hatia
Amejipima ameona yuko tayari kwa kuanza safariNadhani hajashauliwa vizuri juu ya athari zake. Hivi kitabu cha Ben kinauzwa wapi?
Jamaa ni marehemuAlipozabwa kofi pale Diamond Jubilee nilistaajabu sana kusema yule jamaa asamehewe tu, hivi alisamehewa kweli au...?
Jamaa ni marehemu
Nadhani nchi hii hakuna Rais aliyeandika vitabu vingi kumzidi Mwalimu Nyerere.Hivi vitabu huwa wanaandika ili iweje
Mwalimu aliandika kitabu? Nauliza tu
Sijui wanakiuzaje hicho kitabu,si cha kukikosa hata kidogo
Kitabu kuhusu maisha yake kipo?Nadhani nchi hii hakuna Rais aliyeandika vitabu vingi kumzidi Mwalimu Nyerere.
Cha kuhusu maisha yake sijawahi kukiona lakini kuhusu masuala ya siasa na uchumi ,mambo ya kijamii vitabu vipo.Kitabu kuhusu maisha yake kipo?
Natambua aliandika vitabu vingi hilo halina ubishi
Nyerere si mtume Muhammad (S.A.W) kwamba kufuata mienendo yake ni sunnaKitabu kuhusu maisha yake kipo?
Natambua aliandika vitabu vingi hilo halina ubishi
Babu yako alipofarik alikuwa amezindua kitabu?Nadhani hajashauliwa vizuri juu ya athari zake. Hivi kitabu cha Ben kinauzwa wapi?