johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,733
- 143,185
- Thread starter
- #21
Lindi na Ntwara Maendeleo ni kama mama mkwe 😂😂Wa kaskazini watabaki wa kaskazini tu na swala la maendeleo kwao ni kama ibada.
Lindi na Ntwara Maendeleo ni kama mama mkwe 😂😂Wa kaskazini watabaki wa kaskazini tu na swala la maendeleo kwao ni kama ibada.
HaaaaaaChuo Kikuu cha Saudia
Mkuranga Ndio kwao Malima achilia mbali jimbo Kabla halijagawanywa
Mwanga ilipaishwa kwa ufisadi wa huyo mtanzania wa mwanzo mwanzo kuhitimu Makerere!
Niishie hapo
Unadhani baada ya Vita ya Kagera hazina ingetoa wapi hela?..umesahau Mwalimu alilaumiwa kwamba alipong'atuka hazina ilikuwa "imekauka."?
..taarifa za kuaminika zinasema Prof.Malima ndio alikuwa waziri wa fedha wakati Mwalimu anang'atuka.
Rais Mwinyi, baada ya kuona hali ya uchumi ni mbaya kupitiliza, alishauriwa kwenda kukopa fedha Zimbabwe. Rais Mugabe akasema siwezi kuikopesha fedha serikali ya Tanzania, badala yake nitawasaidia bure kabisa bila masharti yeyote .Waliokuwepo zama hizo na wasio Wanafiki watanielewa, mzee Mwinyi aliikuta nchi katika halo Ngumu ya kiuchumi kuliko Rais mwingine yoyote
Kipekee niwashukuru Prof Kighoma Malima aliyekuwa Waziri wa Fedha, Prof Lipumba aliyekuwa Mshauri wa Uchumi Ikulu, Hassan Diria Waziri Mambo ya Nje, Lyatonga Mrema Waziri wa Mambo ya Ndani na Mzee Kitwana Kondo KK Meta wa Jiji la DSM kwa kumshauri ipasavyo Mzee Mwinyi hadi tukatoboa
Mungu wa mbinguni mbariki mzee Mwinyi!
Unadhani baada ya Vita ya Kagera hazina ingetoa wapi hela?
Mtei mwenyewe alikimbilia Marekani 😂😂
Wewe una spin nini? Mwaka 1992 nchi ilifirisika. It is documentedRais Mwinyi, baada ya kuona hali ya uchumi ni mbaya kupitiliza, alishauriwa kwenda kukopa fedha Zimbabwe. Rais Mugabe akasema siwezi kuikopesha fedha serikali ya Tanzania, badala yake nitawasaidia bure kabisa bila masharti yeyote .
Serikali yetu ikapewa dollar za Kimarekani million 500.
Rais akashauriwa kuwa fedha hizi zipelekwe Bank kuu ili wafanya biashara wenye uwezo wa kuagiza bidhaa mbali mbali nje ya Nchi wafanye hivyo kwasababu hiyo itasaidia kuzalisha walipa kodi. Serikali ikakubali. Biashara zikaanza kufufuka na kushamiri.
Sambamba na hilo kukapitishwa azimio la Zanzibar, ambalo msingi wake mkubwa ilikuwa ni kuvutia watu kutoka Nchi za nje kuleta mitaji yao Tanzania kwasababu Azimio la Zanzibar lililegeza masharti mengi ya Azimio la Arusha.
Kwahiyo, mpaka tunafika mwaka 1994 hali kidogo ikaanza kutengamaa..
Mwinyi hauwaza kuuza Bandari wala Bank, ila tulikuwa na bahati Mugabe alitupiga jeki kubwa.
Malima kwao ni kisarawe kijiji chao cha asili ni maluwi ambako amezaliwa na kukulia huko na kusoma huko. Mkuranga alihamishia makazi ya wazazi wake maeneo ya Mkamba baadaye sana akiwa tayari keshakuwa mtu mzima.Mkuranga Ndio kwao Malima achilia mbali jimbo Kabla halijagawanywa
Mwanga ilipaishwa kwa ufisadi wa huyo mtanzania wa mwanzo mwanzo kuhitimu Makerere!
Niishie hapo
Tulienda kukopa kwasababu tulifilisika, ni kweli. Na kuna mwezi mshahara tulilipwa tarehe 13 badala ya tarehe 30 ! Yaani two weeks baada ya mwisho Wa mwezi.Wewe una spin nini? Mwaka 1992 nchi ilifirisika. It is documented
Athari za Vita zilidumu muda mrefu..vita vya kagera viliisha 1979.
..Mwalimu aling'atuka 1985.
..hiyo ni miaka 6 baada ya vita.
Inamaana baada ya Mzee Mwinyi kizungumkuti kikaanza mpaka leo 🤣🤣🤣🤣!!!Waliokuwepo zama hizo na wasio Wanafiki watanielewa, mzee Mwinyi aliikuta nchi katika halo Ngumu ya kiuchumi kuliko Rais mwingine yoyote
Kipekee niwashukuru Prof Kighoma Malima aliyekuwa Waziri wa Fedha, Prof Lipumba aliyekuwa Mshauri wa Uchumi Ikulu, Hassan Diria Waziri Mambo ya Nje, Lyatonga Mrema Waziri wa Mambo ya Ndani na Mzee Kitwana Kondo KK Meta wa Jiji la DSM kwa kumshauri ipasavyo Mzee Mwinyi hadi tukatoboa
Mungu wa mbinguni mbariki mzee Mwinyi!
Uliingia darasani bwashee?!!..vita vya kagera viliisha 1979.
..Mwalimu aling'atuka 1985.
..hiyo ni miaka 6 baada ya vita.
Wizara ya Mipango angepewa Prof Lipumba tungetoboa!Tumtumie vema Lipumba atuvushe.
Mtei aliiacha nafasi ya ugavana BoT kipindi Cha Nyerere,huwezi kumlaumu malima mwenye PhD ya uchumi kwa uchumi mbovu wa Nyerere,wazee walimuita haambiliki,Kuna sababu..umesahau Mwalimu alilaumiwa kwamba alipong'atuka hazina ilikuwa "imekauka."?
..taarifa za kuaminika zinasema Prof.Malima ndio alikuwa waziri wa fedha wakati Mwalimu anang'atuka.
Miaka 6 kidogo Sana kufufua uchumi uliokufa ukiongozwa na mjuaji Julius..vita vya kagera viliisha 1979.
..Mwalimu aling'atuka 1985.
..hiyo ni miaka 6 baada ya vita.
Nafikiri magu alitaka kumuweka hapo,maana lipumba alikua wa mwanzo kuitwabna magu,huenda alikataa kulinda heshimaTumtumie vema Lipumba atuvushe.
Hahaha..Tumtumie vema Lipumba atuvushe.
Seriously? Unafananisha maendeleo ya Mkuranga na Mwanga?Kuna shida ya msingi na ya kale kwenye jamii kama za Mkuranga, ELIMU DUNI YA KISEKYULA. Hili ndio chanzo cha yote, na yanaendelea hadi leo. Hata Msuya angekuwa mbunge wa Mkuranga, na kuiba na kuwekeza huko mkuranga, na Malima angetoka Mwanga, bado mkuranga ingekuwa duni na mwanga ingepiga hatua.