Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,953
- 4,326
Du, kumbe ndizo mbinu zao za kitoto wanazotumiaga kupata umaarufu wa kisiasa?Mzee Mwinyi kaeleza jinsi alivyokwazwa na picha yake kutumika katika kipindi hiki. Kwa mara nyingine JMakamba kaonyesha utoto kama aliouonyesha Baba yake.
Familia ya Makamba ni Janga la Kitaifa.