Mzee Mwanakijiji, Tafadhali...

Jamani kuna ushahidi upi kuwa Dr Slaa hajasikilizwa?

Ninavyojua mimi CHADEMA ni Dr slaa na Mbowe.....hakifanyiki kitu bila hao ku approve

That was then
sasa Slaa sio lazima asikilizwe
CHADEMA ni Mbowe na Mtei...ndio hasa waliofanikisha kumleta Lowassa
 
There is a moral principle that says the end does not justify the means. Morally, you cannot do a bad thing in order to achieve a good result.

While removing CCM from power is a good thing, it is morally wrong to use evil methods to achieve that end. For example, we may not kill them off.

Forming alliances with corrupt people is evil. We may not morally do so in order to remove ccm.

I am profoundly disappointed by what has taken place lately. But I remain an ardent follower of Dr Slaa.
 
Kaulize ESCROW. Yaani unataka utuaminishe wote tukubaliane na maneno yako kama nani? Hapa ni sehemu ya mijadala ya wazi na haina references na ndo maana mengi wakati mwingine ni ya kweli.

Wewe unayeona watu wanamchafua Mbowe unaweza kutangulia unakoona. Ila watu wanasema kuwa jamaa kapiga mpunga wa kufa mtu.

We jiandae tu kutafuta kwa kukimbilia maana siasa Lowassa hawezi zaidi ya biashara ya siasa.
 
Nafikiri bado hujanisoma vizuri. Ngoja basi nikufafanulie kidogo.
Kwanza kabisa inabidi uwe makini kuchambua na kupembua kuwa kwa nini Lowassa ameingia Chadema? Pili jiulize kwa nini anataka yeye tu agombanie????
Alafu nilipotolea mfano wa Gaddafi(Libya) sijamaanisha kuzungumzia njia iliyotumika kumuondoa Gaddafi, ninachomaanisha hapa ni hii slogani yenu mpya kuwa mbaya ni CCM na adui wetu ni CCM, nimesema hivi kuwatahadharisha kuwa hata Libya West na opposition waliwaaminisha walibya kuwa adui wao ni Gaddafi na tatizo lao ni Gaddafi badala ya kuwaeleza kimkakati kuwa kwa Gaddafi mnakosa hiki, hawapi hiki, hampati hiki na sie tukiingia tutawapa hiki, tutafanya hivi na kuweka hiki. Na kila mtu amekuja kuona walibya wanavyojuta leo.

Sasa nyie mnachotaka kukifanya ni tu kusema kuwa tatizo ni CCM as if leo CCM ikiondoka nchi itakuwa paradiso au nyie ni paradiso, alafu kibaya zaidi mnaenda kuwatumia watu walewale waliokuwa na sifa mbaya CCM ambao mlikuwa mnawasema vibaya, ambao mlikuwa mnawatumia kwenye majukwaa yenu kuisema CCM vibaya na CCM ikaonyesha ukomavu kwa kutema kwenye mchakato ili kujipa sifa nzuri kwa umma wa watanzania.
 

You have nailed it.
Ukisikia mtu anajidai eti kulaumu CDM kwa tukio hili, ujue ni CCM sympathizer hata kama hajitambulishi hivyo. Ni wasi wasi tu wa kulamba mchanga.
Decision hiyo imeelezwa vizuri sana na Mbowe na Tundu Lisu.
 
Wakati mwingine si kila jiwe lililokataliwa na waashi ,litakuwa jiwe kuu la pembeni.....mawe mengine yanakataliwa kwa sababu maalumu
 

Unajidanganya sana dada

Rais Obama asingekanyaga White Hse kama sio Wananchi tena wa hali ya chini waliompigia kura kwa wingi. Hoja kwamba ni syst inateua Rais then formality zinafuata ni story za vijiweni.

Suala kwamba mbinu za wizi wa kura kumpitisha mtu fulan zinafanyika ni kweli, na hilo limeshapatiwa dawa ktk uchaguz huu. Wezi wa kura na wote watakaojaribu kuhujumu uchaguz huu watajuta maisha yao yote

Mbinu zao zinajulikana waliokuwa champion wamesha okoka na wanataka mabadiliko maana wameonja uchungu wa watawala wabinafsi. Hivyo goli la mkono haliwezekani au litaelekezwa upande wa pili.

Tusidanganyane, mwaka huu ni mwaka tofauti sana, mikakati imepangwa ikapangika, tusubiri 25/10 sio mbali
 
That was then
sasa Slaa sio lazima asikilizwe
CHADEMA ni Mbowe na Mtei...ndio hasa waliofanikisha kumleta Lowassa

Kwangu mimi Dr Slaa ni Identity ya CHADEMA

Na inatuma ujumbe mkubwa sana kwa wapinzani

Kutokuwa na Dr kwenye hii issue ni downfall kubwa sana ya Chama...Narudia...sana

Nitaamini kauli ya kuwa Mbowe kakiuza chama
 

Mkuu, huoni kama umejichanganya? ulipotolea mfano wa Gaddafi (mtu na sio nchi) naona kama ndio umekubaliana na Chadema kwa kumchukua Lowassa (mtu na sio chama) so umemuunga mkono mtoa hoja kwa vitendo but kwa maneno umempinga, remember action speak louder than words!
 
.....wasomi kama nyie tunawaheshimuni kwa kuyafuatilia mambo ya harakati za ukombozi wa pili wa mama tanzania kiusomi..kuna vitu mmesaidia sana katika harakati, na kuna vitu mungeweza pia saidia sana ktk harakati za ukombozi wa pili wa mama tanzania..lkn bahati mbaya, ukweli wa "kikombe kilichoja kimiminika humwaga kimiminika, kikiongezewa kimiminika" umeendelea kujidhihirisha kila kukicha ktk harakati zetu tukufu....leo wengine "mitaani" (sisemi darasani au ofisini, au klabu za kikubwa ambazo unywaji wa "vya thamani" unapewa kipaumbele", nasisitiza, MTAANI..)..ufisadi unaishia kwenye kupora mali ya umma na vitendo vya rushwa tu?...tunatafakari., Majungu, Uzushi,Ghilba, na kila aina ya utapeli ktk HARAKATI ZILIZOTUKUKA haviwezi kuwa ni sehemu ya ufisadi ambao ulitakiwa ndo tuanze nao kwanza ndani yetu wanaharakati wenyewe? nani alipitisha na kututangazia habari ambazo "WAKATI", ( mama wa ukweli) amedhihirisha kuwa zilikuwa ni majungu, ghilba, uzushi, na utapeli ktk siasa?..kwa nini (wasomi wetu ktk harakati ) hamtuelezi kwa hoja zisizopingika, ni kwa uadilifu na uzalendo gani, tuendelee kuwasikiliza viongozi wetu wale wale ambao walileta majungu yaliyotufitinisha na waadilifu, wazalendo, wenzi wetu ktk harakati...tuelezeni ni nini kinaendelea kwa wale wote walio na nyadhifa ktk harakati ambao walipita wakitufitinisha na "mwokozi wetu" ktk safari ya matumaini..Je, si wakati sasa wa viongozi wetu ktk "harakati tukufu" kutuelezea pia ukweli juu ya waliyopita wakisema juu ya kina Hamadi Rasheed, Kitila Mkumbo,Zitto Kabwe na wengine ktk harakati, ambao kama Lowassa, tuliambiwa mengi juu ya namna kuwa nao kulivyokuwa kunasaliti harakati..huitaji kuwa msomi wa kiwango cha "usomi tunachofanyiwa nacho mbwewe na waliojaaliwa kuwa nacho" kufahamu kuwa majungu hayana mpaka..kama tuhuma za ufisadi za mh. Lowassa zilikuwa ni majungu, inayumkinika hata za wengine walioitwa wasaliti na kufukuzwa zikawa ni majungu pia..Lakini, lililo kubwa kabisa ni kutaka (labda?) kutuaminisha kuwa ili harakati zetu zifanikiwe, basi ni muhimu (kama si lazima), kuchanganya uadilifu ktk harakati, pamoja na, majungu, ghilba, uzushi, utapeli, na kuongeza "ufisadi na mafisadi" (kwa maana halisi ya ufisadi) ndani yake...kuna hoja gani iliyotukuka ya kiharakati,kuhangaika kuitoa ccm ambayo tayari ni mchanganyiko huo huo, badala ya kuanza kusafisha "mapandikizi" ya mawakala wa waovu, walio ktk mahaba na umasikini wetu (na kutokusoma kwetu-kama ni kweli)....ANGALIZO..wengi mitaani hatujasoma (labda kama mnavyoonekana kuamini), lakini tulijifunza, tumejifunza, na tunajifunza...kwa kusikiliza, kutazama, (ndio), na kusoma, kisha, (TOFAUTI NA WASOMI WENGI) tunatafakari...! ...Mungu atatujalia, mfumo uliopo wa CCM na WAPINZANI KOKO, tutaung'oa, na juu yake, kwa baraka zake mungu,tutaweka mfumo ambao msingi wake utakuwa ni demokrasia ya kiuadilifu, mfumo ambao "nidham ndio itakuwa kichwa chake"..huku majungu, ghilba, uzushi, utapeli, ufisadi na kila aina ya uovu wa kisiasa utakuwa ndio "jasho, kinyesi, na mkojo" wake...
 
The moment you begin thinking of ways to make "easy money" is the moment you become a thief!.,
Let me start with that which is something am sure you believe in (Principle), expanding on it gives;

The moment you begin thinking of ways to get "easy wins" is the moment you become corrupt!

Now that is a fact and that is exactly what is happening with CDM and this Lowasa thing. Look for an easier way to win whatever the cost. That guy on your profile picture, do you know who was his opposite during his time? Malcom X. They all wanted the same thing but they had fundamental differences in the principals on how they are going to get there. Malcom X believed on the whatever it takes approach while that guy on the picture believed on taking the morally correct path to victory however hard that path.

In these few days, CDM has successful managed to transform their mission from delivery of a better, democratic and fair Tanzania to take CCM out whatever the cost and worry about tomorrow when tomorrow gets there. While that may turn good (and MM finished his post saying, "i remain a skeptic"), but with invitation of Lowasa you are guaranteed for a CCM like tomorrow or most likely worst.

What makes Lowasa powerfull is what comes with Lowasa. And that is TeamLowasa and every other shady character that CDM has ever pointed finger at. You don't just get Lowasa, you get all of that. That becomes part and parcel of a democratic CDM. A new CDM member and an old CMD member all have the same rights. And these people are not your regular CMD members, these are guys that can exert a significant influence and they are coming in CMD in a position of power. They are not being helped by CDM, they are helping CDM take on CCM.

Once Lowasa is president, he is president. Do you even know the kind of power a president of this country has? To think that CDM will be able to control him through party meetings is simply being naive! There is a right and wrong way of doing things, that is a fact. Getting bad people to fight other bad people for you is a good strategy except that keeping the bad people as your leader as they defeated the other bad people is simply suicidal.

I have read some other arguments that, this is just to change the political dynamics and prove that a ruling party can be replaced in TZ. But that is simply explaining hard issues with simple whatever fits answers (the ones that CCM ministers always gives in the parliament). You cant just turn the future of the entire nation into a big SOCIAL EXPERIMENT and see how it goes!!! And to expand on that, this kind of experiment has been done before in many countries in Africa with complete total failure. And it is a scientific fact that, an experiment which takes same inputs under the same conditions will ALL THE TIME GIVES THE SAME RESULTS.

What is wrong with People!!!
 
Kuna watu wana mtizamo na mawazo ya nyerere lakini wanakosa busara zake ambazo no mhimu kwasasa, J Nyerere aliwahi kusema aliona ni bora acheleweshe uhuru wetu kisa nchi nyingine azijakombolewa 'busara tufanye what's positive in people's mind in politics right now than waiting for a proud achieve towards and let people suffer more with regrets. Pls Mzee Mwanakijiji and aksante kwa alietoa thread nimefarijika sana pipoooozz..
 
Last edited by a moderator:
mwanakijiji hawezi waombea chadema mema...ni snitch
 


Ianelekea haulewi hata mfumo wa Marekani unavyofanya kazi unaangalia CNN na unaamiini wanachokwambia!
Baraka Obama ameweza kuwa Raisi wa Marekani kwa maana ilipangwa hivyo na mfumo ulikwashaamua na walikuwa wanamuandaa tangu kuwa Seneta akapanda fasta na kuwa Raisi, wenye Dunia walikwishaamua kuwa sasa zamu ya Mtu ambaye siye mzungu, mwenye jina la Kiislamu awe Raisi na hii ni kutokana na jinsi Raisi Bush alivyoharibu hivyo Marekani ilikuwa inachukiwa Dunia nzima kuanzia Ulaya, Asia mpka kwetu Afrika sasa ili kurudisha heshima ya Marekani Duniani ilikuwa ni lazima waje na mtu anayekubalika kila mahali sasa ni yupi huyo ni Obama, kwamba Waafrika wataona ni wa kwao kwa kuwa baba yake anatoka Afrika, Waislamu wataona ni wa kwao kwa kuwa anaitwa Huseni na ndio maana kwenye kuapishwa kwake alikazania sana jina la Huseni Obama ili kuwapata Waarabu waislamu waliokuwa wameichukuia Marekani kutokana na Siasa za Bush na Wamarekani weusi nao wakaambiwa mmepata raisi mweusi wa kwanza Mweusi, watu wa kutoka Asia huko Indonesia ambako mama yake Obama aliishi wakaambiwa Obama ni wenu pia kwa maana kaka yake wa kufikia ni Muindonesia tena wamefanana sana!
Safari ya kwanza ya Obama kama Raisi wa Marekani ililkuwa ni Kairo na akaongea kwa kujitambuliasha kama Huseni obama ili kuwapata Waislamu na Waarabu...

Angalia sasa hivi Donald Trump anapendwa na wamarekani lkn mfumo haumtaki hivyo hawezi kuwa raisi hata afanyaje ingawaje Wamarekani wengi kulingana na maoni wanampenda klk Wagombeaji wote lkn mfumo haumtaki hivyo yeye pia kama Lowasa hawezi kuwa raisi wa USA!
 
NOWDAYS mwanakijiji's arguments are like water (H2O) arguments nyingi hazina mashiko
 


The sad part of this is very very few people can see this......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…