FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
USIKU WA LEO CCM WATANGAZA MATOKEO YALOGUSHIWA JIMBO LA MALINYI LICHA UTHIBITISHO KUWAPO.
CCM Wilaya Ulanga iko ktk kashfa ya kugushi matokeo ya KURA ZA MAONI ili kumnufaisha mmoja wa Mgombea aliyeshika nafasi ya pili ktk mchakato huu 2010 kwani kwa matokeo halisi ya 2015 amejikuta ameporomoka na kushika nafasi ya tatu Mgombea huyu ameendesha Kampeni za Kilaghai na amekuwa akiwatumia baadhi Watendaji wa CCM ambapo imebainika Katibu wa CCM Kata ya Malinyi Bi Karolina Kitungutu akisaidiwa na Katibu Msaidizi wa Wilaya Bi Hellen Dugillo wamegushi matokeo rasmi yanayoonyesha kuwa Dkt. Mponda ameshinda kwa kura 3680 na Kuafuatiwa na Antipas Mgungusi mwenye kura 2500 huku Mgombea aliyeongezewa KURA haramu Yassin Njayagha akijipatia Kura 1800 nafasi ya nne ikiwa imechukuliwa na Kiyawike ilihali Tira akiwa nafasi ya tano.
Wagombea Mfaume na Kayela wakiwa ndio wanahitimisha namba za ushindani.
Katika taarifa iliyowasalishwa na Katibu Msaidizi akishirikiana na Katibu wa Uchumi Ulanga Ndg Tenga imeonyesha Mtia nia Yassin Njayagha akiwa ndie mshindi namba mbili ilihali ni udanganyifu wa mchana peupeee!!!
Bi Kitungutu amebainika kufoji fomu za matokeo kata ya Malinyi kwa mfano mahala ambapo huyu Njayagha amepata KURA halisi 14 basi huongeza 0 na kusomeka 140 baadala ya 14 ya awali.
Mchezo huu umefanywa mpaka kumuongezea takribani kura 1500 haramu.
Leo CCM WILAYA ILISHINIKIZA MATOKEO KUSAINIWA Lakini Mgombea aliyeporwa KURA na nafasi yake halisi amegomea isipokuwa wagombea namba 4,5,6,7 ambao kwa sasa wameungana na Njayagha ktk UHALIFU huu wa makusudi unaofanywa naye na baadhi ya wana CCM ULANGA.
Antipas Mgungusi amehujumiwa sana na genge hili, likitumia vitisho vya PCCB kumdharirisha ili kumpunguzia uungwaji mkono mbele ya UMMA amepinga matokeo haya na kuiomba CCM Ulanga iruhusu haki kwa njia ya ushahidi, matawi na kata husika sasa zimeamua kwenda CCM wilaya wakiwa na vielelezo halisi na kubainisha hila za kughushi kulikofanywa na Watendaji wao Naibu katibu wa CCM wilaya na Mchumi wa Wilaya kwa ushirika na Katibu Kata CCM Malinyi.
Tunaitoa taarifa hii hapa mapema ili kuwapa ANGALIZO NA KUWAOMBA CCM TAIFA NA MKOA kumpa ushirikiano ama maelekezo M/kiti CCM Ulanga na Katibu wake kutoa Takwimu sahihi za KURA YA MAONI kwa vikao vya juu na siyo taarifa hii iliyopikwa kwa mpango wa FITINA na UDANGANYIFU.
Tunawaomba CCM kuwachukulia hatua mara moja watumishi hawa ili kurejesha imani na amani CCM Ulanga. MCHEZO HUU ULIFANYWA 2010 WANANCHI WAKATULIA SASA IMEJIRUDIA NA KUONGEZEWA MITINDO MIPYA! HII NI HATARI KWA CHAMA HIKI CCM.
Kuna udanganyifu mkubwa umefanywa tarafa ya Mtimbira lakini licha taarifa hizi kuwafikia CCM Wilaya sasa UONGOZI unabariki dhuluma mpya tena dhariri kwa KIJANA MDOGO ALIYELELEWA NA CCM YENYEWE.
WANAODANGANYWA HAPA SI CCM TAIFA AU MKOA BALI NI WAO ULANGA NA MATUNDA YA UDANGANYIFU NI KUIONDOLEA CCM UHALALI NA IMANI KWA UMMA. TAARIFA HIZI ZIKO MEZANI KWA MWENYEKITI CCM ULANGA,KATIBU WAKE WA WILAYA ILA NI WAZI WAMELEMEWA NA GENGE LENYE DHAMIRA YA KUINGAMIZA CCM MALINYI.
TUNAWASIHI SANA MCHUKUE HATUA ILI KESHO HAKI ITENDEKE, LAKINI PIA CHAMA KIANGALIE AINA ZA WANA CCM WANAOJITOKEZA KUWANIA UONGOZI WAKI.KINACHOTOKEA ULANGA NI DHAMIRA OVU KUITAWALA HAKI.
CCM TAIFA TUNAWAPA HABARI HII INGALI YA MOTO NA MNAWEZA KUWASILIANA NA M/KITI WA CCM WILAYA NDUGU KHALID NYALYOTO NA KATIBU WAKE WA WILAYA ILI KU VERIFY.
MUNGU IBARIKI MALINYI, MUNGU IBARIKI TANZANIA
CCM Wilaya Ulanga iko ktk kashfa ya kugushi matokeo ya KURA ZA MAONI ili kumnufaisha mmoja wa Mgombea aliyeshika nafasi ya pili ktk mchakato huu 2010 kwani kwa matokeo halisi ya 2015 amejikuta ameporomoka na kushika nafasi ya tatu Mgombea huyu ameendesha Kampeni za Kilaghai na amekuwa akiwatumia baadhi Watendaji wa CCM ambapo imebainika Katibu wa CCM Kata ya Malinyi Bi Karolina Kitungutu akisaidiwa na Katibu Msaidizi wa Wilaya Bi Hellen Dugillo wamegushi matokeo rasmi yanayoonyesha kuwa Dkt. Mponda ameshinda kwa kura 3680 na Kuafuatiwa na Antipas Mgungusi mwenye kura 2500 huku Mgombea aliyeongezewa KURA haramu Yassin Njayagha akijipatia Kura 1800 nafasi ya nne ikiwa imechukuliwa na Kiyawike ilihali Tira akiwa nafasi ya tano.
Wagombea Mfaume na Kayela wakiwa ndio wanahitimisha namba za ushindani.
Katika taarifa iliyowasalishwa na Katibu Msaidizi akishirikiana na Katibu wa Uchumi Ulanga Ndg Tenga imeonyesha Mtia nia Yassin Njayagha akiwa ndie mshindi namba mbili ilihali ni udanganyifu wa mchana peupeee!!!
Bi Kitungutu amebainika kufoji fomu za matokeo kata ya Malinyi kwa mfano mahala ambapo huyu Njayagha amepata KURA halisi 14 basi huongeza 0 na kusomeka 140 baadala ya 14 ya awali.
Mchezo huu umefanywa mpaka kumuongezea takribani kura 1500 haramu.
Leo CCM WILAYA ILISHINIKIZA MATOKEO KUSAINIWA Lakini Mgombea aliyeporwa KURA na nafasi yake halisi amegomea isipokuwa wagombea namba 4,5,6,7 ambao kwa sasa wameungana na Njayagha ktk UHALIFU huu wa makusudi unaofanywa naye na baadhi ya wana CCM ULANGA.
Antipas Mgungusi amehujumiwa sana na genge hili, likitumia vitisho vya PCCB kumdharirisha ili kumpunguzia uungwaji mkono mbele ya UMMA amepinga matokeo haya na kuiomba CCM Ulanga iruhusu haki kwa njia ya ushahidi, matawi na kata husika sasa zimeamua kwenda CCM wilaya wakiwa na vielelezo halisi na kubainisha hila za kughushi kulikofanywa na Watendaji wao Naibu katibu wa CCM wilaya na Mchumi wa Wilaya kwa ushirika na Katibu Kata CCM Malinyi.
Tunaitoa taarifa hii hapa mapema ili kuwapa ANGALIZO NA KUWAOMBA CCM TAIFA NA MKOA kumpa ushirikiano ama maelekezo M/kiti CCM Ulanga na Katibu wake kutoa Takwimu sahihi za KURA YA MAONI kwa vikao vya juu na siyo taarifa hii iliyopikwa kwa mpango wa FITINA na UDANGANYIFU.
Tunawaomba CCM kuwachukulia hatua mara moja watumishi hawa ili kurejesha imani na amani CCM Ulanga. MCHEZO HUU ULIFANYWA 2010 WANANCHI WAKATULIA SASA IMEJIRUDIA NA KUONGEZEWA MITINDO MIPYA! HII NI HATARI KWA CHAMA HIKI CCM.
Kuna udanganyifu mkubwa umefanywa tarafa ya Mtimbira lakini licha taarifa hizi kuwafikia CCM Wilaya sasa UONGOZI unabariki dhuluma mpya tena dhariri kwa KIJANA MDOGO ALIYELELEWA NA CCM YENYEWE.
WANAODANGANYWA HAPA SI CCM TAIFA AU MKOA BALI NI WAO ULANGA NA MATUNDA YA UDANGANYIFU NI KUIONDOLEA CCM UHALALI NA IMANI KWA UMMA. TAARIFA HIZI ZIKO MEZANI KWA MWENYEKITI CCM ULANGA,KATIBU WAKE WA WILAYA ILA NI WAZI WAMELEMEWA NA GENGE LENYE DHAMIRA YA KUINGAMIZA CCM MALINYI.
TUNAWASIHI SANA MCHUKUE HATUA ILI KESHO HAKI ITENDEKE, LAKINI PIA CHAMA KIANGALIE AINA ZA WANA CCM WANAOJITOKEZA KUWANIA UONGOZI WAKI.KINACHOTOKEA ULANGA NI DHAMIRA OVU KUITAWALA HAKI.
CCM TAIFA TUNAWAPA HABARI HII INGALI YA MOTO NA MNAWEZA KUWASILIANA NA M/KITI WA CCM WILAYA NDUGU KHALID NYALYOTO NA KATIBU WAKE WA WILAYA ILI KU VERIFY.
MUNGU IBARIKI MALINYI, MUNGU IBARIKI TANZANIA