Mzee Makamba, Mwinyi mmeacha lulu ila Kikwete Dah!!

General Mangi

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
15,300
23,022
Hii inasikitisha sana, kiongozi mkubwa ambaye unauzao bungeni lakini Haonekani kwenye baraza au hata unaibu waziri.

Wazee wetu ambao wamelea na kuacha lulu ni Mzee mwinyi na Makamba ambao watoto wao ni sehemu ya baraza la mawaziri.

Namuonea huruma Mzee wangu kikwete kushindwa hata kumjenga mwanae kupata hata unaibu waziri, pole sana.
 
mwanae kiazi, alafu kajiweka karibu sana na wafanyabiashara wanaotiliwa mashaka, hii imemuharibia sana kisiasa hasa kipindi hiki babake hayupo wa kumbeba.
 
Hata wewe ungeweza kuwa lulu ila tz watu wanaandaa watu wao ila kumbuka riz ni mheshimiwa mbunge sio nafasi ndogo kuna watu wengi tanzania wenye uwezo kuliko hao unaowaita lulu basi tu hawapewi fursa
 
Hii inasikitisha sana, kiongozi mkubwa ambaye unauzao bungeni lakini Haonekani kwenye baraza au hata unaibu waziri.

Wazee wetu ambao wamelea na kuacha lulu ni Mzee mwinyi na Makamba ambao watoto wao ni sehemu ya baraza la mawaziri.

Namuonea huruma Mzee wangu kikwete kushindwa hata kumjenga mwanae kupata hata unaibu waziri, pole sana.
Hapa ni mahali pa Great Thinkers , acha udaku!
 
Hii inasikitisha sana, kiongozi mkubwa ambaye unauzao bungeni lakini Haonekani kwenye baraza au hata unaibu waziri.

Wazee wetu ambao wamelea na kuacha lulu ni Mzee mwinyi na Makamba ambao watoto wao ni sehemu ya baraza la mawaziri.

Namuonea huruma Mzee wangu kikwete kushindwa hata kumjenga mwanae kupata hata unaibu waziri, pole sana.

Riz angekua waziri???? Wa nchi gani???
 
Hussein Mwinyi ni lulu?? Sitasahau Mbagala and Gongolamboto armoury inferno which drink innocent lives of Tanzanians!!
 
Hii inasikitisha sana, kiongozi mkubwa ambaye unauzao bungeni lakini Haonekani kwenye baraza au hata unaibu waziri.

Wazee wetu ambao wamelea na kuacha lulu ni Mzee mwinyi na Makamba ambao watoto wao ni sehemu ya baraza la mawaziri.

Namuonea huruma Mzee wangu kikwete kushindwa hata kumjenga mwanae kupata hata unaibu waziri, pole sana.
Hivi Hayati Mwl. Nyerere na Mhe. Ben. Mkapa hawana watoto !!
 
Hii inasikitisha sana, kiongozi mkubwa ambaye unauzao bungeni lakini Haonekani kwenye baraza au hata unaibu waziri.

Wazee wetu ambao wamelea na kuacha lulu ni Mzee mwinyi na Makamba ambao watoto wao ni sehemu ya baraza la mawaziri.

Namuonea huruma Mzee wangu kikwete kushindwa hata kumjenga mwanae kupata hata unaibu waziri, pole sana.

Ha ha ha ha.
Kweli haya ni mawazo ya Ibilisi.
Rizi 1 angepata uwaziri kelele zake zingefikia hadi mbingu
 
Bila shaka unaumwa kifafa. Kipi cha kushabikia hapo au umetumwa kupromoti watu hum
 
Hivi Hayati Mwl. Nyerere na Mhe. Ben. Mkapa hawana watoto !!

Moja ya viongozi ambao wamebugi kwenye malezi ya watoto ni kikwete na nyerere.

Watoto wa JK wamezoea taarabu na mipasho, hawana future, hawakuitumia nafasi ya baba yao kujijenga, kazi yao ni ubishow.

Angalia watoto wa Walker Bushi alivyo wajenga wanae george bushi na sasa kuna mdogo mtu nae mbioni urais pale republican.
Sio kwamba wanapendelewa bali ni uwezo wa watoto kujitambuaa na kufanya siasa safi

Cheki watoto wa mzee makamba, mwinyi, karume wanavyo petaa.

Kikwete na familia yake ni yakubebwaa tu
 
angepewa tu, hata kama haina kazi
Sio kwamba haina kazi, bali haipo kabisa. Kama ni hivyo kuwa angepewa hata kitu ambacho hakipo, naungana mkono na wewe kuwa hata sasa yeye ndiye Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
 
Hii inasikitisha sana, kiongozi mkubwa ambaye unauzao bungeni lakini Haonekani kwenye baraza au hata unaibu waziri.

Wazee wetu ambao wamelea na kuacha lulu ni Mzee mwinyi na Makamba ambao watoto wao ni sehemu ya baraza la mawaziri.

Namuonea huruma Mzee wangu kikwete kushindwa hata kumjenga mwanae kupata hata unaibu waziri, pole sana.

Subira yavuta heri
 
Hii inasikitisha sana, kiongozi mkubwa ambaye unauzao bungeni lakini Haonekani kwenye baraza au hata unaibu waziri.

Wazee wetu ambao wamelea na kuacha lulu ni Mzee mwinyi na Makamba ambao watoto wao ni sehemu ya baraza la mawaziri.

Namuonea huruma Mzee wangu kikwete kushindwa hata kumjenga mwanae kupata hata unaibu waziri, pole sana.

Hivi haiwezi kupira siku bila kumsema jk vibaya?
 
Back
Top Bottom