Ududu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 1,020
- 554
Hivi hizi pesa wanazotuambiaga wanalipwa zinaenda wapi?? Wastara aliutangazia uma kuwa kaingia mkataba na kampuni ya simu ya china kuwa analipwa mill 400 kwa mwaka lakini alipoumwa ilibidi wadau wamchangie walau mill 70 ya kwenda kutibiwa India. Leo nayaona pia kwa mzee wetu Majuto.. Hapo chini kwenye screenshot ni mahojiano ya Millard na mzee Majuto mwaka jana.
Mi bado nawaamini wacheza Sinema.
Mi bado nawaamini wacheza Sinema.