Uchumi wa Mifugo
JF-Expert Member
- May 20, 2021
- 345
- 575
Ben Saanane,Azory Gwanda na wengine wengi mliowaua walikuwa matajiri?Nani akuteke maskini wewe , waheed
USSR
Ben Saanane,Azory Gwanda na wengine wengi mliowaua walikuwa matajiri?Nani akuteke maskini wewe , waheed
USSR
Nani akuteke maskini wewe , waheed
USSR
Nalifananisha tukuio Hilo na tukio la Yesu kutembelewa na Musa na Elia pale Gethsemane ili kumtia nguvu na kumtayarisha kwa mambo yajayo.View attachment 2049200
Taarifa inatolewa kwamba Mzee Juma Duni Haji akiambatana na Shehe Issah Ponda leo tarehe 18/12/2021 wamefika kwenye Gereza la Ukonga ili kumjulia hali Mwamba Freeman Mbowe , ambaye amewekwa jela kwa amri ya watawala kutokana na kudaiwa KUKOSA HESHIMA .
Habari kutoka Gerezani zinadai kwamba Mbowe yuko imara sana kiafya na kiakili na ametuma ujumbe Muruwa kwa watu wote nchini Tanzania kuendelea kudai KATIBA MPYA .
Hawa ndio viongozi siyo yule Zuberi!View attachment 2049200
Taarifa inatolewa kwamba Mzee Juma Duni Haji akiambatana na Shehe Issah Ponda leo tarehe 18/12/2021 wamefika kwenye Gereza la Ukonga ili kumjulia hali Mwamba Freeman Mbowe , ambaye amewekwa jela kwa amri ya watawala kutokana na kudaiwa KUKOSA HESHIMA .
Habari kutoka Gerezani zinadai kwamba Mbowe yuko imara sana kiafya na kiakili na ametuma ujumbe Muruwa kwa watu wote nchini Tanzania kuendelea kudai KATIBA MPYA .
Mpige mchungaji kondoo watawanyike.Kwani hiyo Katiba alikuwa anadai peke yake, mbona Wewe hujakamatwa?
Shehe Ponda na Duni haji watakuwa wametumwa na Mama wakamlainishe Mbowe atoke ili kibano cha UN kisiwapate tena!!!
Mpige mchungaji kondoo watawanyike.
Sana. Halaf huyu mama huwa ana roho nzuri sana. Maskini wa watu kaingizwa Chaka na wasiojulikanaSamia atakuwa anajutia kumweka ndani mwamba
Lengo lenu ilikuwa hivyo. Lakini hamkujua chadema ni zaidi ya taaasisi. FOI chadema imeshavuka level ya kuwa taaasisi, imekuwa Imani Sasa. Ndo maana wanaozimia moyo wanaondoka na Kila siku watu wanajiunga chadema kwa dhahiri au kwa kificho.Kwa hiyo yale Maneno ya Chadema ni Taasisi kumbe kama vichambo vya kwny Kanga tu
Kwani hujui "ndege wa aina moja huruka pamoja"Yaani unataka tuweke picha ya Erythrocyte hapa kwamba naye kamtembelea Mwamba Mbowe gerezani , ili baada ya siku chache atekwe na kutupwa baharini eeeeh ?
Hii katiba mpya mpaka Mbowe atoke jela, nyie wana saccos wengine mnabwabwaja tu hamna lolote woga umewajaa wake kwa waume.Yote yawezekana
Mbowe kawa mwamba wa nini?View attachment 2049200
Taarifa inatolewa kwamba Mzee Juma Duni Haji akiambatana na Shehe Issah Ponda leo tarehe 18/12/2021 wamefika kwenye Gereza la Ukonga ili kumjulia hali Mwamba Freeman Mbowe , ambaye amewekwa jela kwa amri ya watawala kutokana na kudaiwa KUKOSA HESHIMA .
Habari kutoka Gerezani zinadai kwamba Mbowe yuko imara sana kiafya na kiakili na ametuma ujumbe Muruwa kwa watu wote nchini Tanzania kuendelea kudai KATIBA MPYA .
Acha uchochezi mwanambogamboga🤔.Wazee wana busara sana hawa
Sasa wale vijana wako tuu online na mitaani kusikilizia
Hakuna neno liliniudhi, Kama hili la kusema MBOWE awe na adabu, kwanza ni neno la kibri, kisa yupo magogoni ,View attachment 2049200
Taarifa inatolewa kwamba Mzee Juma Duni Haji akiambatana na Shehe Issah Ponda leo tarehe 18/12/2021 wamefika kwenye Gereza la Ukonga ili kumjulia hali Mwamba Freeman Mbowe , ambaye amewekwa jela kwa amri ya watawala kutokana na kudaiwa KUKOSA HESHIMA .
Habari kutoka Gerezani zinadai kwamba Mbowe yuko imara sana kiafya na kiakili na ametuma ujumbe Muruwa kwa watu wote nchini Tanzania kuendelea kudai KATIBA MPYA .
Wewe unafikiri tangu lini?
Kwani hujui Mbowe ni mwamba ?? Wakuu wako viti havikaliki ,Sasa jitie mjuaji