Mzee David Wakati Katutoka Leo

Mzee wakati tulikuwa tunasali wote pale Mt Albano pamoja na watoto wake, pumzika salama Mzee na poleni wafiwa wote.
 
ni kweli kabisa,nakikumbuka hiki kipindi cha "nipe habari" enzi hizo r.t.d.
 
wakati hukuta marehemu daudi rip....
 

Umemsahau Haruna Damla Damla wa ukame st no 10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…