Mzee mmoja bahili karudi nyumbani kwake akaanza kuwatembezea watoto wake bakora, watoto kuuliza kwa nini mzee anawachapa bakora? mzee akawajibu mna matumizi mabovu nyinyi mpo watatu mnawasha fan namba 4 kwa nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.