Bosi Michembe
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 271
- 87
Wakuu nimekutana na hili gazeti Superstar ingawa la muda kidogo (20 April 2012) na moja kati ya habari picha yao imenivunja mbavu nikaona si vibaya kuShare nanyi.
Soma maelezo ya picha kwa makini. Sasa sijui tunakuwa na haraka sana au hakuna editor au ndiyo tumejizoesha kudownload habari za nje mpaka tunajisahau.
Soma maelezo ya picha kwa makini. Sasa sijui tunakuwa na haraka sana au hakuna editor au ndiyo tumejizoesha kudownload habari za nje mpaka tunajisahau.