My "World War One(WWI)" ndani ya ndoa.

haya wenye ndoa zenu tunawasubiri mtumegee vituko mnavyokutana navyo nasi tujifunze
 
Mkuu we mzee Kifimbocheza au Mwinyi mpeku???:A S 13::A S 13::A S 13:

hapana mkuu...but i find it interesting. Kwangu mimi naona ni lugha ya kudhalilisha lakini naona walengwa wameikubali. Hadi wenyewe wanaitumia katika posts zao. Ndo maana inabidi niulize...ni lugha sahihi?
 
mara nyingi ugomvi wa kwenye ndoa huanzia kwenyecvitu vidogo vidogo na vya kipuuzi sana kugombania channel za kuangalia baba anataka mpira mama anataka tamthilia mnaishia kununiana. hiyo ya kulala ukutani mimi inanikuta mara nyingi saana basi nikimkuta kalala hampo simfukuzi wala kumtwanga mingumi nachofanya ni kupewa ticket ya kummega mzee ntashika **** kiuno ataanza kulalamika mmh mwanaume hutosheki asubuhi umekula na sasa unataka km hataki atasogea upande wake. na yeye siku akiwa horny anawahi kulala upande wangu au mkishaingia kulala utasikia na mimi nataka kulala mwanzoni basi atajisogeza hapo mtabanana hapo so as a man najua kabisa huyu anahitaji dozi nzito na kweli atatoa ushirikiano mzuri tu na atamaliza game kwa furaha na atarudi sehemu yake.

Unaona ndugu, watu wasidharau visa vidogo vidogo vinaweza pelekea makubwa. Nimekupata ndugu mambo ya "side" ya kitanda!
 
sorry mate...i have never heard that line of defence before! ama sivyo cases nyingi za assault zingetupwa nje.

Hiyo defence inaitwa kwa kiingereza "provocation", yaani ikiwa poved vema hata kesi ya mauaji mshitakiwa anaachiwa huru. Ugumu wake ni kuthibitisha kuwa "was acted promptly before time to cool", yaani ithibitike kuwa lilikuwa ni tukio la ghafla hata akili haikupata muda sawia wa kutafakali.
 
Hiyo defence inaitwa kwa kiingereza "provocation", yaani ikiwa poved vema hata kesi ya mauaji mshitakiwa anaachiwa huru. Ugumu wake ni kuthibitisha kuwa "was acted promptly before time to cool", yaani ithibitike kuwa lilikuwa ni tukio la ghafla hata akili haikupata muda sawia wa kutafakali.

kwa bahati nzuri nchi ninayoishi wameifuta hii defence maana ilikuwa inakuwa abused sana!
sina uhakika kama utakuwa umetimiza elements zake. Maana yeye pia anaweza kudai hivyo hivyo...
 
nilimrukia na kupiga ngumi, akaanguka chini nami nikateleza kwenye zulia la plastiki lililokuwa na mji na kuanguka, akakamaka mkono wangu na kuning`ata, ikafuata tafrani kidogo lakini nikashituka kuwa majirani watasikia nikamwacha.

Chapa,

1. Mkiwa wa-chumba alikuwa analala upande gani wa kitanda?

2. Wanawake wengine bila kumtandika mangumi hawezi kuamini kama unampenda kwa dhati!

3. Wanawake wengine ukimtandika ngumi huwa mapenzi yameishia hapo hapo kinachobaki ni ku-pretend!

4. Inawezekana pia mke wako huyo anajihusisha na ushirikina (mganga wake alimpa sharti hilo ili akutawale)!

5. Inakuwaje unabishana na mwanamke mpaka "kitandani"?
 
Chapa,

1. Mkiwa wa-chumba alikuwa analala upande gani wa kitanda?

2. Wanawake wengine bila kumtandika mangumi hawezi kuamini kama unampenda kwa dhati!

3. Wanawake wengine ukimtandika ngumi huwa mapenzi yameishia hapo hapo kinachobaki ni ku-pretend!

4. Inawezekana pia mke wako huyo anajihusisha na ushirikina (mganga wake alimpa sharti hilo ili akutawale)!

5. Inakuwaje unabishana na mwanamke mpaka "kitandani"?


Dah! mkuu umenipiga maswali tata kweli, najibu hilo la kwanza, wakati wa uchumba alikuwa halali kwangu bali kunitembelea tu na kuondoka.
 
Hivi umekisikia kisa chenyewe cha kupigana??
Nimesoma kuelewa chanzo cha ugomvi. Na mara nyingi vipimo huanzia kwenye vitu vidogo na vya kijinga. Lengo huwa ni hilo2 la kupima strength n weaknesses.
 
Yaaaaaaawn! Usingizi kwishnei..mh! Nilikuwa naota 2nazozana nani atazima taa 2kilala.nimeamka taa bado inawakaa na kuna paka kaingia na kuisukuma almanusra iunguze nyumba nzima..mmeamkaje wana JF.wapi sheikh yahya anitabirie ndoto yangu.haha.zzzzzzzzzzzzz! Bak 2 sleep.
 
Yaaaaaaawn! Usingizi kwishnei..mh! Nilikuwa naota 2nazozana nani atazima taa 2kilala.nimeamka taa bado inawakaa na kuna paka kaingia na kuisukuma almanusra iunguze nyumba nzima..mmeamkaje wana JF.wapi sheikh yahya anitabirie ndoto yangu.haha.zzzzzzzzzzzzz! Bak 2 sleep.

Ona sasa kumbe wengine ugomvi wao ni nani wa kuzima taa, ni ndoto na pengine ndicho huwa kinatokea kati yao, jamani pateni somo.
 
Back
Top Bottom