Just thinking...je hii lugha ni sahihi? Sio lugha inayodhalilisha wanawake?
Mkuu we mzee Kifimbocheza au Mwinyi mpeku???:A S 13::A S 13::A S 13:
mara nyingi ugomvi wa kwenye ndoa huanzia kwenyecvitu vidogo vidogo na vya kipuuzi sana kugombania channel za kuangalia baba anataka mpira mama anataka tamthilia mnaishia kununiana. hiyo ya kulala ukutani mimi inanikuta mara nyingi saana basi nikimkuta kalala hampo simfukuzi wala kumtwanga mingumi nachofanya ni kupewa ticket ya kummega mzee ntashika **** kiuno ataanza kulalamika mmh mwanaume hutosheki asubuhi umekula na sasa unataka km hataki atasogea upande wake. na yeye siku akiwa horny anawahi kulala upande wangu au mkishaingia kulala utasikia na mimi nataka kulala mwanzoni basi atajisogeza hapo mtabanana hapo so as a man najua kabisa huyu anahitaji dozi nzito na kweli atatoa ushirikiano mzuri tu na atamaliza game kwa furaha na atarudi sehemu yake.
sorry mate...i have never heard that line of defence before! ama sivyo cases nyingi za assault zingetupwa nje.
Hiyo defence inaitwa kwa kiingereza "provocation", yaani ikiwa poved vema hata kesi ya mauaji mshitakiwa anaachiwa huru. Ugumu wake ni kuthibitisha kuwa "was acted promptly before time to cool", yaani ithibitike kuwa lilikuwa ni tukio la ghafla hata akili haikupata muda sawia wa kutafakali.
nilimrukia na kupiga ngumi, akaanguka chini nami nikateleza kwenye zulia la plastiki lililokuwa na mji na kuanguka, akakamaka mkono wangu na kuning`ata, ikafuata tafrani kidogo lakini nikashituka kuwa majirani watasikia nikamwacha.
Chapa,
1. Mkiwa wa-chumba alikuwa analala upande gani wa kitanda?
2. Wanawake wengine bila kumtandika mangumi hawezi kuamini kama unampenda kwa dhati!
3. Wanawake wengine ukimtandika ngumi huwa mapenzi yameishia hapo hapo kinachobaki ni ku-pretend!
4. Inawezekana pia mke wako huyo anajihusisha na ushirikina (mganga wake alimpa sharti hilo ili akutawale)!
5. Inakuwaje unabishana na mwanamke mpaka "kitandani"?
Nimesoma kuelewa chanzo cha ugomvi. Na mara nyingi vipimo huanzia kwenye vitu vidogo na vya kijinga. Lengo huwa ni hilo2 la kupima strength n weaknesses.Hivi umekisikia kisa chenyewe cha kupigana??
Yaaaaaaawn! Usingizi kwishnei..mh! Nilikuwa naota 2nazozana nani atazima taa 2kilala.nimeamka taa bado inawakaa na kuna paka kaingia na kuisukuma almanusra iunguze nyumba nzima..mmeamkaje wana JF.wapi sheikh yahya anitabirie ndoto yangu.haha.zzzzzzzzzzzzz! Bak 2 sleep.