BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 786
Mh Mwakyembe,
Mimi ni mfanyabiashara ninaefanya kazi kwa karibu sana na bandari ya Dar. Kama mdau naomba kutoa tip kazi kw ajili ya kuboresha operation za bandari yetu ili kuongeza mapato zaidi. Kuna mambo ambayo ni long term na mengine ni short term.
1. Kuongeza gats - Kwa sasa gats zenye uwezo wa kupark meli zenye mzigo mkubwa ni 2 tu yani namba 5 na7. Hii inasababisha msongamano mkubwa wa meli. Mfano kuna meli ya Bakhresa ya ngano inayoendelea kupakuwa imekaa mwezi ikisubiri meli za ma container kupakuwa. Pia kuna meli ya Clinker ya Rhino cement ambayo imekaa for almost 3 weeks. Hili nila kitaalamu sana hivyo nakushauri utumie wataalamu wako muangalie ni jinsi gani gats zinaweza kuwa za kutosha kuboresha operation zetu.
2. Weigh bridge - Watu wa Tan-Road huwa wanakaa njiani kuvizia watu waliozidisha mizigo na kuwakamata na kuwapiga fine. Hivi kwa nini kusiwe na watu wa mizani pale pale kwenye weigb bridge ya Bandari na kukagua magari yenye mzigo mkubwa kuyapunguza hapo hapo yasitoke kwenda kuharibu barabara zetu. Sidhani kama lengo ni kukusanya hela za fine nadhani lengo ni kuzuia barabara zisiharibike.
3. Mizani - Bandari ina mizani 2 na kwasasa moja imekufa. Cha ajabu kuna mzigo wa Rhino Cement unapakuliwa na unatoka bandarini bila kupimwa kinyume chake unaenda kupimwa kiwandani kwenye mizani ya mteja!!!! Yani maana yake ni kama unaenda kununua nyama halafu unaenda na mizani yako then muuzaji ana kucharge basing on your scale. Inawezekana kabisa mizani ya Rhino ikawa saaaaafi lakini kuna myanya
Mimi ni mfanyabiashara ninaefanya kazi kwa karibu sana na bandari ya Dar. Kama mdau naomba kutoa tip kazi kw ajili ya kuboresha operation za bandari yetu ili kuongeza mapato zaidi. Kuna mambo ambayo ni long term na mengine ni short term.
1. Kuongeza gats - Kwa sasa gats zenye uwezo wa kupark meli zenye mzigo mkubwa ni 2 tu yani namba 5 na7. Hii inasababisha msongamano mkubwa wa meli. Mfano kuna meli ya Bakhresa ya ngano inayoendelea kupakuwa imekaa mwezi ikisubiri meli za ma container kupakuwa. Pia kuna meli ya Clinker ya Rhino cement ambayo imekaa for almost 3 weeks. Hili nila kitaalamu sana hivyo nakushauri utumie wataalamu wako muangalie ni jinsi gani gats zinaweza kuwa za kutosha kuboresha operation zetu.
2. Weigh bridge - Watu wa Tan-Road huwa wanakaa njiani kuvizia watu waliozidisha mizigo na kuwakamata na kuwapiga fine. Hivi kwa nini kusiwe na watu wa mizani pale pale kwenye weigb bridge ya Bandari na kukagua magari yenye mzigo mkubwa kuyapunguza hapo hapo yasitoke kwenda kuharibu barabara zetu. Sidhani kama lengo ni kukusanya hela za fine nadhani lengo ni kuzuia barabara zisiharibike.
3. Mizani - Bandari ina mizani 2 na kwasasa moja imekufa. Cha ajabu kuna mzigo wa Rhino Cement unapakuliwa na unatoka bandarini bila kupimwa kinyume chake unaenda kupimwa kiwandani kwenye mizani ya mteja!!!! Yani maana yake ni kama unaenda kununua nyama halafu unaenda na mizani yako then muuzaji ana kucharge basing on your scale. Inawezekana kabisa mizani ya Rhino ikawa saaaaafi lakini kuna myanya