My take on improving Tanzanian football: Let's stop the time-wasting!

My take on improving Tanzanian football: Let's stop the time-wasting!

Afrika ndiyo tabia zetu za kipumbavu,muhimu ushindi yaani tunabase na result rather than basis/technique hapa simba wanazani watatoboa kwa majaliwa.
Naona me china simba na mashujaa jumla wameongeza dakika 25, kipindi cha kwanza 10 na cha pili dak 15
 
Niongee lugha ya babu.
Nakubaliana na maoni yako Kwa 100% lakini nadhani tatizo linaanzia Bodi ya Ligi wakati wanatunga kanuni hawazingatii hili. Hili likiwekwa kwenye kanuni hutaliona tena. EPL wamelimudu sababu ya kanuni. Time wastage pale EPL unaona kabisa ilikuwa na sababu za Msingi. Mchezaji kaumia au kuna tukio lililo nje ya uwezo wa waamuzi. Waamuzi wa Tanzania wanaendekeza mno Wachezaji. Anaona kabisa huyu anachelewesha Muda makusudi lakini akilalamikiwa anaonyesha saa kwamba ataongeza dakika. Kichekesho ni dakika zitakazoongezwa.
Unaona mwamuzi kabla ya mechi kuanza anawaita makipa wa timu mbili na kuwaonya mapema kwamba hatavumilia ucheleweshaji Muda. Subiri Mechi ianze utaona maajabu.
Naona mashujaa kaongezewa dakika 10 kipindi cha kwanza na chapili dakika 15.halafu wana lala mika 😂

Wanapoteza muda Kama sio professional vile? ni hayo hayo mkuu tuliokuwa tunajadili
 
Back
Top Bottom