wisdom mapambano
Senior Member
- Jul 17, 2018
- 113
- 130
Amen...Naamini imekuwa
Umepona tatizo lako?
Nimependa maono ya mbingu kufunguka,Mungu anahitaji umtumaini kwa Roho na kweli..
Amen...Naamini imekuwa
tuko pamoja dearNimemaliza mwaya
Sauti ipo bado sio ya kunivuruga akili..!!Ndyo maana niliweza kufanya kazi two years.Umepona tatizo lako?
Nimependa maono ya mbingu kufunguka,Mungu anahitaji umtumaini kwa Roho na kweli..
Ukaona kuna ka namna hapa 🤣 🤣Nilivyo ona kalpana kakoment Mara mbili nikona wacha nisome na mm
La aziz, mambo?tuko pamoja dear
Nimeficha baadhi ya vipande Kwa sababu maaalumu..Naomba nikufanyiw MSE kidogo maana nimesoma storry zijaelewa kabisa naona kuna umuhimu wa MSE
hi hunnieLa aziz, mambo?
Acha ushamba kuna watu ni wakongwe wana I'd zinazo tambulika hivyo wanaleta story kwa id nyingine....usikremu mambojoined Jan4 2024 na ushaandka uzi