Ndio fact iliyopo kwa sasa hasa yule mazaa akikosa nafasi ya kugombea basi Rais wao ajaye ndio huyo mtawala mpya wa afrika kuanzia January 5 mwakani
Kwaher, yeuwiii auwii, yelewiiuDonald Trump ndiye Rais ajaye wa Jamhuri Ya Muungano ya watu wa Marekani.Huu ndio utabiri wangu. Nilitabiri kuhusu Buhari wa Nigeria, nikatabiri kuhusu Magufuli, na sasa nimetabiri kuhusu Donald Trump... MARK MY WORDS!!!
Bora aje awanyooshe viongozi wa afrikaDonald Trump ndiye Rais ajaye wa Jamhuri Ya Muungano ya watu wa Marekani.Huu ndio utabiri wangu. Nilitabiri kuhusu Buhari wa Nigeria, nikatabiri kuhusu Magufuli, na sasa nimetabiri kuhusu Donald Trump... MARK MY WORDS!!!
Toa uzushi wako huko eti marekani ukiambiwa hivyo umekishwa? Nani aliyekudanganya? Unadhani wamarekani ni mazuzu kwenye maamuziSijui, lakini jana Papa Francis ametifuana naye kiasi cha Papa kumwambia kwa tabia zake si Mkristo
Na marekani ukiambiwa hivyo umekwisha
Sijui, lakini jana Papa Francis ametifuana naye kiasi cha Papa kumwambia kwa tabia zake si Mkristo
Na marekani ukiambiwa hivyo umekwisha
papa ana influence gani marekani, papa ushawishi wake umebaki kwenye nchi za ulimwengu wa tatu kama Tanzania, Kenya n.kSijui, lakini jana Papa Francis ametifuana naye kiasi cha Papa kumwambia kwa tabia zake si Mkristo
Na marekani ukiambiwa hivyo umekwisha
mbona obama anasapot ushoga na papa alikiwa anaupinga...yule papa wa zamanpapa ana influence gani marekani, papa ushawishi wake umebaki kwenye nchi za ulimwengu wa tatu kama Tanzania, Kenya n.k
wazungu huwaambii blah blah za dini wakakuelewa
mh! speed humps aheadpapa ana influence gani marekani, papa ushawishi wake umebaki kwenye nchi za ulimwengu wa tatu kama Tanzania, Kenya n.k
wazungu huwaambii blah blah za dini wakakuelewa
Hujui utawala wa dunia ulivyo ndo maana una m undermine sana huyo papa rais wa marekani ni kama ceremonial leader kwa papa. Hutanielewa kama hutakua mfuatiliaji wa mambo kwa jicho la tatupapa ana influence gani marekani, papa ushawishi wake umebaki kwenye nchi za ulimwengu wa tatu kama Tanzania, Kenya n.k
wazungu huwaambii blah blah za dini wakakuelewa
Donald Trump ndiye Rais ajaye wa Jamhuri Ya Muungano ya watu wa Marekani.Huu ndio utabiri wangu. Nilitabiri kuhusu Buhari wa Nigeria, nikatabiri kuhusu Magufuli, na sasa nimetabiri kuhusu Donald Trump... MARK MY WORDS!!!
Before you insult your betters just google Religion and politics in the USAToa uzushi wako huko eti marekani ukiambiwa hivyo umekishwa? Nani aliyekudanganya? Unadhani wamarekani ni mazuzu kwenye maamuzi
Papa ndio Nakubali kasema lakini Hakuna impact yoyote kwenye safari ya trump, amin hivyo