Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,410
- 271,879
Halafu wanasema amejiuza kwa hela ndogo sana !Pole yake chahali anadhani ni yeye tu mwenye access na tiss.
Halafu wanasema amejiuza kwa hela ndogo sana !Pole yake chahali anadhani ni yeye tu mwenye access na tiss.
Jamaa ni kama mwanamke malaya hana msimamo kabisa,kumbe siku zote jamaa linatuchora humu kumbe bado linatumika na ccm,chahali zoba sanaHuyu mbuzi ameshaingia kwenye payroll ya Jiwe sababu ya njaa zake.
Hapana huyu kanunuliwa mwaka huu Mwezi wa 8Jamaa ni kama mwanamke malaya hana msimamo kabisa,kumbe siku zote jamaa linatuchora humu kumbe bado linatumika na ccm,chahali zoba sana
Bwege kweli huyo halafu anadai alipikwa akapikika,jasusi gani asiyeweza kujilinda huyo? Yaani watamuua mwache ajipendekezeHalafu wanasema amejiuza kwa hela ndogo sana !
Na wakimaliza kumtumia wanamuuaHapana huyu kanunuliwa mwaka huu Mwezi wa 8
Na ndicho kinachofuata,huwezi kusaliti kambi then ukarudi tena kwenye kambi ile ile kufanya kazi.Na wakimaliza kumtumia wanamuua
The political situation is so worse in the Republic of Greenland that whoever
amemuandikia hii barua Mango, umejuaje kama huyo Mango nae hajaelewa?? Else, wewe ndiye Mango.Ungeandika kiswahili ndugu ungeeleweka vizuri!!!
Wanasema hivi anayedhani ana akili kuliko wote ni mwehu , huyo Chahali aweza kuwa humoBasi yamekwisha jamani. Cha-chali yupo chali! Tuendelee na mada.
Na da Mange naye amenunuliwa?Hapana huyu kanunuliwa mwaka huu Mwezi wa 8
Muda mrefu sana,kwani ushamsikia tena?Na da Mange naye amenunuliwa?
Else, wewe ndiye Mango.
Correction: Spymaster = head of a ring of spies eg a director of intelligence. Never had Membe held such a position.
Halafu si ungeandika kwa Kiswahili tu badala ya kuchapia lugha ya watu?
Correction: Spymaster = head of a ring of spies eg a director of intelligence. Never had Membe held such a position.
Halafu si ungeandika kwa Kiswahili tu badala ya kuchapia lugha ya watu?
Afanye kama Mange alivyofanya. Na nishamwambia kwenye swala la Ujasusi huwezi kusaliti watu halafu baadae ukarudi tena kufanya kazi nao watu wale wale kisa tuu Rais aliepo madarakani kakununua umfanyie propaganda mitandaoni,kazi ikiisha wanakula kichwa.It seems like sasa hivi kambi ya Jiwe inanunua tu kila sauti yenye mwangwi wa kuwakera
Kanunuliwa Mtatir, Mange, Huyu Jasusi Uchwara, Tumbili na wengine kibao in the name of kuunga mkono juhudi.
Tatizo la watu kama huyu jasusi uchwara anadhani sasa ana obligation ya kulipa deni la kununuliwa ndiyo maana anaanzisha mada za kumsifu jiwe kiana mara oh atashinda uchaguzi, mara sijui kimeenda kimerudi!. Acha ubwege wewe kula hizo hela utulie, kwanza umeshaharibu sana na ukiingia kwenye 18 zao lazima wakunyooshe!