My Open Letter to Eric Shigongo

Hata mtoa mada huwezi kumpangia nini aseme na wapi aseme
 
Ujumbe umeeleweka labda mtu awe chizi
 
Huyu anayeishi kwa kutegemea umbeya ni mshenzi tuu kama washenzi wengine.
 
Pumbaaaaaaaaavu wewe.Nawe ni kima tuu.Unatetea choo tuu hapo huna jipya.
 
Kama unampenda s.h.ig.o.n.go kamlipie mikopo yake.....husisubiri afilisike kabisa
 
Vijana awa wanasumbua sana,kula bure kulala bure....mida hii anamsubilia shemeji afungue geti.
 
Hovyo kabisa hakuna kitu kibaya kama uoga wewe ni mwaga uliye poteza mwelekeo huwezi Sifia upuuzi wakati unaona halihalisi ilivyo
 
Kudos, Erick anacheza siasa za tumbo na ukanda na kama angekuwa hajalipwa madeni yake angekaa kimya, tumpuuze kwa sababu kibano cha.wakubwa kikikolea hatabaki salama hata kidogo!
Ni kweli mkuu,sasa ni bora angekaa kimya tu kuliko kutuchochea hasira
 
Tatizo lenu nyie ni uwezo mdogo sana wa akili,kwanza hujasoma mada vizuri,EU haijawahi kuilazimisha nchi yoyote ikubali ushoga,inachopinga EU is how those homophonic persons are being sarcastically treated,na maazimio yapo 15, nyie mmekimbia kujibu maazimio 14 mnakomaa na azimio moja la ushoga ambalo namna walivyolielezea siyo kama nyie mnavyojaribu kulikuza,anyway mwisho wenu mbaya mno...
Ndo maana mmenda kukopa South Africa, wakati hilo taifa lina matatizo kibao,na wakiwapa ujue hawana akili,
 
Uko humu unalipwa kwa kazi ya kumtetea Dikteta,kwa hiyo siwezi kukushangaa
 
Jinga kweli wewe shetani,******** will soon fade away,yeye dikteta wa kwanza,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…