My Open Letter to Eric Shigongo

Niwie radhi kwa ujinga wangu pia nkupongeze kwa uwereve wako wa kuona mnagombana na familia yako unamchukua ex WA mke / Mme wako aje akushauri matatzo yako!
 
Mimi naangalia title "Open Letter" Ukimaanisha "Barua ya Wazi" Ok. mimi nitasoma makala za hadithi zake hayo namuachia Mungu
 
yaan hii ni logic nzur san kukatisha huu uzi wakipumbavu kiukweli mm sio mwanasiasa na kuna mambo simuungi mkono magufuri kwa asilimia zote lakin kwa hili nasema tena kwa hilii nipo nae na ww bega kwa bega
Kwamba ni bora kuua binadamu wenzie sio?
 
Shigongo alipodhulumiwa bil mbili za kuchapisha tvshirt,kanga na mabango ya uchaguzi alikuja kubweka hapa jukwaani akilaani wanaomdhulumu.

Leo kabadili gia angani,
Binafsi nasimama na EU na USA kwenye mambo 14 napinga moja tu,la ushoga,lkn yaliyosalia waingilie uhuru wetu tu,maana tumeshindwa kujisimamia
 
Nakurudia tena,onyesha hapa tusi nililomtukana shigongo,halafu mwombe Mungu akupe hekima ya kutambua mema na mabaya,kwa sababu nimezungumzia mabaya ya Magufuli umekwepa kujibu hoja,hao waliouawa na kutekwa ni mbuzi?
Trump kumpiga marufuku mwandishi wa CNN kuingia Whitehouse ndo mfa no gani huo? Umeshasikia wanaompinga Trump wametekwa na kupotea?
Una umri gani wewe usiyeona tofauti ya maisha?au unaishi kwa shemeji yako?au wewe ni mke wa mtu unayeletewa kila kitu?
 
Ushauri wangu mtoa mada,una pint tena nzuri tu,ila ulvyoiwasilisha ndo tatizo.
Anyway atakujibu mwenywe km mnafahamiana
 
Niwie radhi kwa ujinga wangu pia nkupongeze kwa uwereve wako wa kuona mnagombana na familia yako unamchukua ex WA mke / Mme wako aje akushauri matatzo yako!
iyo utajua wewe ila upuuzi wa kutetea mauji ya wengine kwa kua eti nchi nyingine wanauna pia ni ujinga.
 
iyo utajua wewe ila upuuzi wa kutetea mauji ya wengine kwa kua eti nchi nyingine wanauna pia ni ujinga.
Kama ulivyoujinga kutetea mataifa ya nje yaje yakusaidie matatizo yako ya ndani huo ni ujinga teeena ujinga wa hali ya juu
 
Hivi
Hivi akili zenu mnadhani hawa watu wanawapenda ninyi? Demokrasia gani waliwawekea watu wa Iraq Libya na Afghanistan? Waulizeni wazimbabwe na Morgan aliwafikisha wapi. Msishabikie vitu vyabkipuuzi. Nimeishi na hawa wanyama miongo miwili hawana thamani na sisi hata kidogo. Wapatieni nafasi wawavuruge muishi kama wanyama.

Jiulize mambo Museveni anayowafanyia Waganda ni sawa na Magufuli? Paul Biya Cameroon naye mbona hawajamuwekea hivyo vikwazo?

Mlilemazwa na kina Kikwete sasa ngangari jiwe kaingia anawapelekesha mchakamchaka mnalia.

MTALIA SANA HUYO MNAE MPAKA 2025 NA BAADA YA HUYO ANAMUACHIA KIJANA WAKE MAJALIWA MOTO CHINI KWA CHINI.
 
Angetaka wasiyoyapenda maoni yake wakae kimya angebakia nayo moyoni mwake otherwise kuyaweka kwenye magazeti yake ana-invite criticism au support.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…