nguruwe* ww unayeamisha watu eti CDM hakuna wasomi sasa subiria 2015 tutaingiza vijana wengine wengi tena wasomi kama wakina Heche, saanane, j mrema etc ndio hapo mtaisoma namba.
Tumeshawazoea matusi,jazba,fitina,uzembe,udini,ukabila,chuki binafsi,mbwembwe,kukosa hekima na busara hizo ni baadhi ya tabia chafu za Chadema,wanachama na viongozi wao! Wewe wala usishangae ukisema jambo lolote linawauma na watakushambulia kwa maneno makali na matusi mazito ,usikate tamaa wewe sema na endelea kuelimisha jamii ya watanzania kokote ulipo kuwa Chadema hawafahi kupewa madaraka kutokana na tabia zao chafu ili kulinda Amani,Umoja na Mshikamano wa watanzania!
Next time unaandika ukumbini tumia herufi ndogo. Kutumia herufi kubwa ni kama vile unazungumza kwa makelele. Nimeshinda kumaliza kusoma bandiko lako.IKITOKEA ZITTO AMEONDOKA UJUE CHADEMA NAYO ITAKUFA KINACHOWAKWAZA CHADEMA MPAKA WANA WASILISHA BAJETI MBOVU WENGI WABUNGE WAO HAWANASHULE YAKUTOSHA WEWE EBU FIKIRIA KICHWA CHA MBOWE KWELI KINAWEZA KU DIGEST NINI KWENYE BAJETI? HAYA KUNA SUGU HAMNA SHULE KAZI YAKE KUTINGISHA KICHWA KAMA ANASIKILIZA WALKMAN,HAYA KUNA WATU WANA DEGREE ZA SHERIA ZA UCHAWI TEOLOGY,WACHUNGAJI NA BAJETI WAPI NA WAPI,MZEE ARFI MSKINI ANA CERTIFICATE YA RAILWAY KWELI ANAWEZA KUMPA CHANGAMOTO MWAKYEMBE CHINI YA KATIBU MKUU WAKE eng OMARI CHAMO WA UCHUKUZI? UKU KWA AKINA MAMA NDIYO USISEME HALIMA MDEE MPAKA LEO HANA LA KUIONGELEA BAJETI KWA JINSI ILIVYOSUKWA KITAAALAMU,NAWAAMBIENI ENDELEENI KUPIGA MAKELELE LAKINI CCM INAANZA KUJA JUU KWA KASI YA AJABU
How is the budget poverty inducing?..English Learner,
Trivial issues cannot change anything ..................
Since the government of JK has elected to punish the Tanzanian people through a budget that is poverty inducing and will cause a lot of hardship, the Tanzanain youths will have no alternative but to resist
Nadhani kunawatu wanachochea mgogoro ndani ya Chadema, kuna watu wamemwita Zitto mchawi. Ni maneno ya kuudhi.
Ushauri kwa wanachadema, ktk hali iliyonayo ccm kwa sasa karata waliyobaki nayo ni kuigombanisha chadema na huenda watafanikiwa kama tutakuwa wababe na tukipoteza mshikamano.
Tatizo lako ni kuwa unachoamini wewe basi ndiyo ukweli wa mambo.duh.. nani Paul Ryan? ni kiongozi wa Republican anayesimama Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi la Marekani. Baraza la Wawakilishi la Marekani linasimamiwa na Republican party na hivyo wanalo jukumu la kuandaa bajeti yao na kuwasilisha kwa Congressional Budget Office. Na wakishaiandaa bajeti hiyo hupigiwa kura na BlW na watu wa CBO wanaipitia na kuona kuwekzekana kwake n.k. Kwa kipimo chooochote huwezi kulinganisha na bajeti ya upinzani Tanzania.. haijadiliwili, haipigiwi kura, na wala hakuna uwezekano wowote wa mambo yake kuingizwa kwenye bajeti kuu! It is absolutely irrelevant.
IKITOKEA ZITTO AMEONDOKA UJUE CHADEMA NAYO ITAKUFA KINACHOWAKWAZA CHADEMA MPAKA WANA WASILISHA BAJETI MBOVU WENGI WABUNGE WAO HAWANASHULE YAKUTOSHA WEWE EBU FIKIRIA KICHWA CHA MBOWE KWELI KINAWEZA KU DIGEST NINI KWENYE BAJETI? HAYA KUNA SUGU HAMNA SHULE KAZI YAKE KUTINGISHA KICHWA KAMA ANASIKILIZA WALKMAN,HAYA KUNA WATU WANA DEGREE ZA SHERIA ZA UCHAWI TEOLOGY,WACHUNGAJI NA BAJETI WAPI NA WAPI,MZEE ARFI MSKINI ANA CERTIFICATE YA RAILWAY KWELI ANAWEZA KUMPA CHANGAMOTO MWAKYEMBE CHINI YA KATIBU MKUU WAKE eng OMARI CHAMO WA UCHUKUZI? UKU KWA AKINA MAMA NDIYO USISEME HALIMA MDEE MPAKA LEO HANA LA KUIONGELEA BAJETI KWA JINSI ILIVYOSUKWA KITAAALAMU,NAWAAMBIENI ENDELEENI KUPIGA MAKELELE LAKINI CCM INAANZA KUJA JUU KWA KASI YA AJABU
Kwani huko kwenye iPad si iliwekwa na ilikuwa typed kutoka kwenye computer acha unafiki wewe na viingereza vyako vyA kimagamba huna lolote bibi wewe pambafMy dear you are missing a very critical point here. Mind that Zitto was not reading a hard copy handed to him by the typist. He was presenting directly from the original soft copy stored in the iPad. How come you categorize this as typo or printing error?
Mbona hayo Maneno umeyakariri Kama wale wauza bidhaa za kichina mabar?Tumeshawazoea matusi,jazba,fitina,uzembe,udini,ukabila,chuki binafsi,mbwembwe,kukosa hekima na busara hizo ni baadhi ya tabia chafu za Chadema,wanachama na viongozi wao! Wewe wala usishangae ukisema jambo lolote linawauma na watakushambulia kwa maneno makali na matusi mazito ,usikate tamaa wewe sema na endelea kuelimisha jamii ya watanzania kokote ulipo kuwa Chadema hawafahi kupewa madaraka kutokana na tabia zao chafu ili kulinda Amani,Umoja na Mshikamano wa watanzania!
Haaaahaaaaaa sina mbavu kweli wewe umetumwa kazi, lazima ukitetee chama ili ugali upatikane mezani! Haaaaaaahaa umevunja rekodi ya vituko bosi
acha upuuzi wewe! Uislam wako haukufikishi popote
Obsessed na majina ya watu.I believe you can do better than this.Another way of distraction from the burning issues at hand.
Bajeti iliyosukwa kitaalamu? It is far more honourable to say I don't know, than to come up with another incoherent babbles.
Vijana kama ninyi mngekuwa South Africa Enzi za utawala wa makaburu sijui kama A.Kusini hadi leo wangekuwa wamepata uhuru.Naona mngekuwa upande mmoja na makaburu tu.Bajeti kandamizi,bajeti hatarishi kwa vijana na vizazi vijavyo unaita bajeti iliyosukwa kitaalamu. deni la taifa leo bilioni 22 ukiligawa kwa wastani wa Watanzania milioni 45 kila mmoja atadaiwa sh.488,888.89.Hadi kichanga ambacho hakijazaliwa kinadaiwa.
The only available evidence to work with, is what you know exactly with strong backup and not making up things to suit whatever fictional film in your mind.
Typing Error............