Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
Hadithi za Alinacha, kwani huyo binti ana miaka 3? Usitake kutuletea habaria ya binti mwenye umri wa miaka 25 afu eti alizaliwa na UKIMWI.
Waambie hao hao....
usiwe mbishi. We meet every day na watu from thirteen to tweny years ambao waliambukizwa kutoka kwa mama. Inaweza kuwa story ya kutunga lakini ukweli ni kwamba kuna vibint vingi tena vizuri ambavyo dawa zimevikubali vipo sekondary. Kwenye hiv ujue kuna rapid progressors,slow progressors na cariers ambaye anaweza kuwaua nyie wote ye akaendelea kuishi bila dawa. Nakumbuka mama mmoja home mume wake alikufa toka 92 kwa dalili za hiv(miaka ile walisema amerogwa) na mtoto wao alikufa 94 kwa PAIDS lakini yeye yupo hadi leo na dawa kaanza 2005. Aliotembea nao humo njiani wengi wao na wake zao walishakufa! Kuwa makini ndugu lakini usimnyanyapae mwenye UKIMWI.