Geraldo DaVinci
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 277
- 37
mpaka sasa itakua tayari ni too late akipigika ndo atashika adabu kwasababu ya uzinzi
Ni true case. Binti ni shemeji yangu na mwanaume ni rafiki yangu. Binti aliambukizwa HIV kutoka kwa mama yake wakati wa kuzaliwa, na aliniambia mwenyewe. Kupitia kwangu rafik yangu alimfaham huyu bint, na alipokuja niambia, alikuwa ameshamlala mara 2, mara zote akitumia condom kutokana shinikizo la bint.
Jamaa anataka apige kav kwa sababu anasema siku ya kwanza alimkuta bikra so anamwamini. Kanitumia msg muda si mrefu kuwa leo kafanikiwa kumlewesha binti Amarula (bint alikuwa hanywi kileo!)
Bint yupo hoi kwa ulevi na jamaa ameamua kutumia hiyo chance kumuingilia bila condom. Aliponitumia msg nilikuwa tait sana sikuweza kuisoma, nilipokuja kuisoma nimempigia nakuta keshazima simu.
Roho inaniuma sana kwa nini sikumwambia jamaa before, ingawa siku bint alivyonihadithia kuwa ni muathirika aliniomba sana nisimwambie mtu. nifanyeje?
Acha ushamba wewe kwa taarifa yako wapo watu wengi sana waliozaliwa na UKIMWI toka tumboni mwa wazazi wao,na bado wanaishi ,ni kuzingatia masharti ya dawa,,,Wapo wengi sana ndugu yangu wengi mnoooooooHadithi za Alinacha, kwani huyo binti ana miaka 3? Usitake kutuletea habaria ya binti mwenye umri wa miaka 25 afu eti alizaliwa na UKIMWI.
Waambie hao hao....
hata marehemu muhamad alikula utamu kwa kibinti cha miaka 6
dah singoneki tena ..... Huyo jamaa yupo mtaani now anaendeleza sio ... Hii dunia hii ....update: Nashukuru sana wote waliosikitika pamoja nami. Waliobeza nawaombea yasiwakute. Nasikitika kuwa rafiki yangu uwezekano kuwa aliambukizwa (kama hakuwahi kuambukizwa before) ni asilimia 99 nakadiria. Kama alivyodhamiria jamaa alimwingilia yule binti kav kav round 2. Aliniambia alipotaka kwenda ya 3 bint ulevi ulishamuisha, na alipogundua jamaa anafanya hivyo alipinga vikali. Jamaa alishangaa na bado anashangaa kuwa bint kugundua aliingiliwa kav alilia sana usiku wote, asubuhi alirudi chuoni mapema na toka hiyo jana asubuhi hadi leo hajataka kupokea simu. Nimemsikitikia sana rafiki yangu, hata hivyo nimedhamiria kutomwambia chochote.
dah singoneki tena ..... Huyo jamaa yupo mtaani now anaendeleza sio ...
hali ya hewa ishachafuka mkuu loh..... Nomakwa nini usingonoke sasa smile? Kuna kuna possibilitu ya kuingia kwenye anga za huyo jamaa?
hali ya hewa ishachafuka mkuu loh..... Noma
UPDATE: Nashukuru sana wote waliosikitika pamoja nami. Waliobeza nawaombea yasiwakute. Nasikitika kuwa rafiki yangu uwezekano kuwa aliambukizwa (kama hakuwahi kuambukizwa before) ni asilimia 99 nakadiria. Kama alivyodhamiria jamaa alimwingilia yule binti kav kav round 2. Aliniambia alipotaka kwenda ya 3 bint ulevi ulishamuisha, na alipogundua jamaa anafanya hivyo alipinga vikali. Jamaa alishangaa na bado anashangaa kuwa bint kugundua aliingiliwa kav alilia sana usiku wote, asubuhi alirudi chuoni mapema na toka hiyo jana asubuhi hadi leo hajataka kupokea simu. Nimemsikitikia sana rafiki yangu, hata hivyo nimedhamiria kutomwambia chochote.
wapendwa tusilaumiane hapa. We all make stupid mistakes, indeed very very stupid
aende hospitalini akapime kwanza if negative aeleze kisa chote kwa daktari. Then atumie ARV full dose at least 3 classes of drugs kwa mwezi mzima. But a doctor will advice more and better the options availale.
Kumbuka this is not a standard practise and neither this behaviour is tolerated or acceptable but I'll be the last one to point a finger kwa huyu bwana
The drugs works better at least within 72 hrs and the earlier the better. Note that there is no guarantee that it'll work but there's a statistical significance chance that zitamsaidia
This is all I can can and am not sure kama best medical practise inaruhusu hii but try mkuu