My first time in Tanzania

Status
Not open for further replies.
Why are you being so carnaptious? Let me tell you; I am neither perturbed nor addled by a numskull of your type. Your highfalutin only serves to show what type of a homunculus you are and that nyang'aus (not all Kenyans) are incompossible. Come back again you rasclaat!

gugu: weed, undergrowth, thicket, brush. Swahili Dictionary
I think u a in denial and gt a very low self esteem, I wil only advice u to get help and see reality. Just too bad wat a waiste.
 
Tell me something i dont know.

Mnairobi;

Nenda popote duniani wananchi wa kawaida hawana shida na mgeni hasa kwa nchi zetu Africa; hata mtu akienda kenya (sijafika) lakini for sure nikienda naamini siwezi kupata shida yeyote..

90% of the wananchi hawana influence za political sentiments zinazoendelea katika nchi hizi; I wish boarders are opened forever, ili watu waishi kwa amani..kokote duniani
 
I think u a in denial and gt a very low self esteem, I wil only advice u to get help and see reality. Just too bad wat a waiste.
Here you talk like an addlepated yob who is full of nincompoopery. Your vituperation has no effect on me, FYI!
 
some pips in here just derail every thread, seems the crab mentality will never leave some EA 'partner' states. Theres so much segregation in respect to foreign nationals it makes them look like the sitting duck yet they should have been the regional powers in respect to formulation and implementation of the bigger pic, comeon, neighbours help when its evident one is burning. EA needs policy makers, not cahoots that are entrenched in a rigid mindset. God Bless EA
 
Typical Tanzanian mindset! Sasa cheo chako kinahusika na nini katika kuchangia hoja. Hata kama wewe ni JK, so what?
Tunazungumzia hoja hapa.
Nilivyokutathmini una chuki binafsi na Kenya, na hizi ndio unazozipika kuzifanya ni chuki za uzalendo zitakazoisaidia Tanzania. Hakuna nchi duniani inayojengwa kwa chuki, bali kwa maslahi.
Pili: wewe ni mtu wa one-issue mentality. Yaani inakuwia vigumu kutasawari picha kubwa (to have a bigger picture). Umeshikilia ardhi , ardhi, ardhi.... zaidi ya ardhi? Na mbona ni Kenya tu? Hata Rwanda hawana ardhi, tena zaidi kuliko Kenya. Badala ya kufikiria practical solution.....kwa mfano serikali ya Tanzania ku-survey ardhi yote na kuwamilikisha Watanzania na kuweka masharti ya end-user etc..unataka tu serikali ing'ang'anie viplot! Hiyo ndiyo kazi ya serikali?
Halafu nakushangaa sana. Hujasikia mashirika mawili ya Marekani ya Agriculture yamekatiwa zaidi ya ekari milioni kuanzisha Agro-industry sehemu za Rusumo? Nani mwenye hatari zaidi hapa, ni Wamarekani kuchukua ardhi (ambayo hamtaweza kamwe kuirudisha, kwani wataweka masharti katika mikataba, sawa na ardhi yenu iliyochukuliwa na wachimba migodi), au Wakenya ambao hata wakinunua utaweza kupita na kuomba maji ya kunywa?

Kama wewe kweli ni mmoja wa decision makers huko Tanzania.......... May God have mercy on us!
Ha! ha! ha! kweli wewe ni sijali kweli! Hujali hata kuchanganya mambo. Kwani mie nilisema siwezi kudisplay kazi yangu au nilisema cheo? kama hujui tofauti ya kazi na cheo basi itakuwa wewe ni mkenya na ninahisi utakuwa mkenya wa pwani.Na kama ungejua maana ya kazi usingepata mtazamo huo maana kuna watu wanauza vutunguu au nguo na wanaenda ktk nchi mbalimbali lakini wewe kwa ufahamu wako mdogo wa kiswahili umedhani naongelea cheo. Ujue kuwa tatizo sio chuki binafsi yangu kwa wakenya bali ni mtazamo wa watz jumla, kama unapinga basi fuatilia maoni kuhusu kuharakishwa kwa shirikisho Afrika mashariki ni asilimia ngapi ya watanzania walipinga? Halafu mie sikuweko Burundi kwenye mkutano wa EAC, hujaona wawakilishi wa TZ walivyo kataa katu katu juu ya ardhi, matumizi ya vitambulisho vya uraia badala ya passport na EAC security pact? Pili wanachama wengine ktk EAC wanalalam kila wakati kuhusu TZ kutotekeleza makubaliano, hayo yote ni kwa sababu yangu? kwa kuangalia hayo basi ukubali kuwa tatizo sio chuki binafsi yangu bali ni unyang'au wa wakenya. Kwani hata jina la manyang'au ni mie niliwapa wakenya? Tofauti kati yangu na wewe ni kuwa mie sipo tayari kufumbia macho tabia za wakenya ila wewe unajipendekeza sana kwao nadhani ndio wanaokuweka mjini.
Halafu kuhusu practical solution watz hatuna shida ndo maana tupo bado EAC maana tunajua inawezekana kabisa kushirkiana bila ardhi kuhusishwa na swala la ardhi anayeling'ang'ania ni hao manyang,au wenzako, Sie msimamo uko wazi hatutaki kushirikiana na wakenya ktk kutumia ardhi na tulisisitiza hilo tangu mwanzo, sasa kwanini waliamua kuchomeka kitu ambacho hatukitaki kama hawana ajenda ya siri? Hakuna kitu TZ itapata kutoka kenya wewe! hata wafanyabiashara wengi hawaendi kenya angalia flow ya watanzania wanaofanya biashara nchi za SADC. research ndogo tu nenda mpakani mwa kenya na TZ holili, namanga na silali uone jinsi kulivyo na poor interaction kati ya watz na wakenya kisha nenda mpakani mwa TZ na malawi na zambia i.e boda kyela, isongole na Tunduma huone jinsi ambavyo watu wanainteract, hapo utajua wakenya wana tabia gani. Waulize pia makampuni ya watz yanayouza maziwa kenya uone jinsi wakenya walivyo na hujuma za chinichini.
Kuhusu ardhi kupewa sio tu kuwa nimesikia ila napafahamu hata mahali penyewe. Ila ujue kuwa tunaposema ardhi haitakiwi kuingia ktk kushirikiana haimaanishi kuwa hatutaki ardhi isitumike hata hao wakenya wapo chungu nzima wanatumia ardhi japo wengi wao kwa njia haramu lakini hata wao wakitaka kuja kama wawekezaji wanakaribishwa sana tu. Lakini wanachotaka kupitia EAC ni wapate haki sawa ya kumiliki kama raia wengine. Na wanajua tofauti ya kuingia TZ na kutumia ardhi kama mwekezaji na kutumia kama raia ndo maana wanahangaikia hilo, hiyo habari ya kushindwa kuchukua ardhi kutoka kwa wawekezaji wa kimarekani hilo ni swala la uongozi, kisheria tutakuwa na nguvu ya kuchukua kwahiyo tutahitaji viongozi wenye msimamo tu ili kuipata. Na kuhusu urahisi wa kuomba maji kwa mkenya, ujue kuwa ni blaa blaa tu, nakuhakikishia tu kuwa ni bora umwombe mmarekani kuliko mkenya.
Mwisho mie sio mmoja wa decision makers ktk TZ, na kama ningekuwa mmoja wao basi kusingekuwa na kitu inaitwa EAC, badala yake ungesikia TZ inasukuma shirikisho la SADC ambako nchi zina maliasili za kutosha na ni marafiki wa kuaminika wa TZ na watu wa huko hawana historia ya kuimanipulate TZ kila wakati. Nisingeendekeza ubinafsi wa kenya kwenda kutupinga waziwazi kwenye mkutano wa kimataifa tulipoomba turuhusiwe kuuza meno ya tembo kwa sababu tuna stock kubwa na tunaingia gharama kubwa kutunza. Ombi letu lilitolewa mapema sana kabla ya mkutano kama ni partners kweli kwanini hawakulileta hilo kwenye vikao vya kawaida ili tumalize tofauti zetu kabla hatujaenda badala ya kuaibishana.
 
there is certainly a lot of empty tracks of land in kenya, but the scale in tz just seemed more, especially with regard to arable land.

It's true. But Delamere family have a lot of land by themselves.
Kenyata family owns almost a quarter of kenya land.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom