Gwamahala
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 3,925
- 2,321
Why?
Tuonjeshe kidogo sababu zako mkuu.
Rudini kwenye hoja.
Je anafaa kuwa rais wa Tanzania?
Haya bhana Kiranga mie natokea kanda ya ziwa Ushashini [Msukuma Vs Mkurya] R na L vinatusumbua.Ila siitaji kuwa FANBOY wako kwa kuwa mimi JF ni jukwaa langu la kujifunza na kutoa mawazo yangu ili mradi sivunji sheria.Na siko hapa jukwani kushindana kuonekana mie najua sana bali ni sehemu pia ya mie kujifunza.Kwa formula gani?
Kizanaki kabila lao halitumii formula hiyo, kila mtu anapewa middle name yake. Ndiyo maana hata baba yake ana middle name yake (ambayo si jina la baba yake). Middle name hiyo ni Kambarage.
Kikatoliki hakuna mtindo wa kufanya jina la baba kiwa muendelezo wa jina la mtoto.
Wewe unatumia formula gani?
Halafu kama hujui jina la babu yake ni Burito na si Bulito you are not qualified to be a fanboy.
Nishajibu hili, unasoma?
Makongoro amefanya kipi cha tofauti kustahili kupata urais?
Au tunasujudia jina tu?
Tunataka kumfufua Mwalimu Nyerere, tumeshindwa, tunaona usultani wa kumpa urais mwanawe ndio utakuwa the next best thing?
Waulize wazee wa NEC nani ambaye humweleza na kumsema JK kama mtoto mdogo.Nishajibu hili, unasoma?
Makongoro amefanya kipi cha tofauti kustahili kupata urais?
Au tunasujudia jina tu?
Tunataka kumfufua Mwalimu Nyerere, tumeshindwa, tunaona usultani wa kumpa urais mwanawe ndio utakuwa the next best thing?
Waulize wazee wa NEC nani ambaye humweleza na kumsema JK kama mtoto mdogo.
Mambo yote ya ufisadi yalikuwa yakisemwa katika chama... Ndio maana huwezi kusikia viongozi wakiropoka maana wanaamini hivyo ni kukibomoa chama.
Charles alikuwa ni Bomba la kuelezea maovu.
Amini nawaambie, Slaa atamuunga mkono.
Nchi hii watu wamepindua usultani kwa damu. Baba yake huyo Makongoro mwenyewe alikuwa mmoja wa strategist wa kuondoa huo usultani.
Kwa nini mnataka kurudisha usultani?
Cc Andrew Nyerere
Kuwa mtoto wa kiongozi hakumuondelei HAKI yake ya msingi kugombea uongozi au kuchagua wengine eti kwa kuwa tu Baba yake alipata kuwa Rais.Tena ona aibu Kiranga angekuwa hai Baba yake nae akaingia kwenye siasa, Baba yake akiwa madarakani tungesema basi kabebwa na Baba yake.Lakini mtu ambae yuko kwenye siasa kwa namna yake mwenyewe bado unataka kumvisha unavyovijua wewe.Ebu achemi hizo.....What goes Around Must Come around...Kama akisema anaomba basi HAKI ya kugombea ni HAKI ya msingi na ni jukumu pekee la chama chake kumpa fursa hiyo au la kumpa Mwanachama Mwingine wa CCM kwa kuzingatia mahitaji ya chama husika kupitia ushindani wa vigezo vitakavyo kidhi maitaji ya chama chao kwa jinsi walivyojiwekea.
Kuwa mtoto wa kiongozi hakumuondelei HAKI yake ya msingi kugombea uongozi au kuchagua wengine eti kwa kuwa tu Baba yake alipata kuwa Rais.Tena ona aibu Kiranga angekuwa hai Baba yake nae akaingia kwenye siasa, Baba yake akiwa madarakani tungesema basi kabebwa na Baba yake.Lakini mtu ambae yuko kwenye siasa kwa namna yake mwenyewe bado unataka kumvisha unavyovijua wewe.Ebu achemi hizo.....What goes Around Must Come around...Kama akisema anaomba basi HAKI ya kugombea ni HAKI ya msingi na ni jukumu pekee la chama chake kumpa fursa hiyo au la kumpa Mwanachama Mwingine wa CCM kwa kuzingatia mahitaji ya chama husika kupitia ushindani wa vigezo vitakavyo kidhi maitaji ya chama chao kwa jinsi walivyojiwekea.
Ukibisha Waangalie Charles Na Slaa Nyuso Zao,kisha kumbuka wosia wa Baba wa Taifa kwamba tukikuangalia usoni tuseme huyu nae....akimaanisha kuwa kile unachokitetea na kukisema tunaweza kukisoma kwenye sura ya msemaji na wapokeaje wakaamini bila wasiwasi kuwa yasemwayo na msemaji wako pamoja nae kuyasema na kuyatete popote pale.
Kaeleweka.Ukisema Edga Lungu unamaanisha nini na hapo ukasema EL ungetumia EL pekee ningejua unasema nini...Lakini ni sawa na kusema PANGA kisha ukusema kwa hakika nini?
Ungesema PANGA ukasema kifaa au tendo basi ingekuwa na maana njema...be specific na hiyo EL kama ni Tanzania au Zambia.Uliposemaa Edga Lungu umepoteza maana halisi ambayo ulitaka kuifikisha.
sijasoma andiko lako lote lakini hizi ni miongoni mwa pumba katika bandiko lako. hivi utendaji wa mtu unapimwa kwa kuangaliwa usoni? au unakopi tu kisa nyerere alisema? mkapa ana very serious face ni kinyume chake Kikwete; je unaweza kutofautisha ufisadi uliofanyika kwa watu hawa wawili? kwa staili hii muda sio mrefu mtaanza na kumuabudu nyerere kabisa. I see, it is just a matter of time.
Sasa Abunuas kama Abunuas atajua bandiko langu kweli wakati mtu mwenye hamnazo ka Abunuas....aliwazalo mpumbavu /mjinga ndilo limtokealo....ukijua maana yake kwa waerevu kitendo cha wewe kuwaza kuwa Nitakapoingia Jamii Forums na kuwa member ili kuficha identity yangu nitatumia Avatar yenye jina la ABUNUAS..
Sasa kwa mwerevu huo ni ujinga kama sio upumbavu ...yani ndio kusema mwisho wako wa kufikilia kuhusu Avatar itakayo reflect who your behind the key board ukatuletea UABUNUAS.Nakumbuka kwenye vitabu vya enzi ya Alfu rela Ulela mtu kama Abunuas kwa leo ni Looser.
Na hata kiswahili swahili kwetu usukumani ukipita mitaa ya kirumba wasiko jua kiswahili kwa ufasaha kama wa mitaa ya manzese bahati isiyo njema mkapishana kauri ukamwita ulie pishana nae eti ABUNUAS utakiona cha mtem kuni, kama uta gawana nae majengo ya Serikali wewe wapelekwa Sekou Toure Hospital yeye anapelekwa Polisi Kirumba.
Ili tuujibizane nawe kana kwanza UBUNUAS wako wa hiari uliojipaki mwenyewe kwa hiari...it tells me who your!!!Ukiondoa avatar hiyo njoo nikujibu....
muanzisha thread ana fantasies nyiiingi kichwani kwi kwi kwi kwi hatuwezi kuwa na utawala wa kiimla nchi hii riziwani yeye anapita mikoani kumpigia chapuo baba yake mdogo membe