My Experience: Wizi na Huduma mbovu za DSTV

My Experience: Wizi na Huduma mbovu za DSTV

2013

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
11,361
Reaction score
6,080
Tangu mwaka Jana nilikua nieleze lakini kwasababu mbalimbali za uvumilivu nikaamua Kuvumilia.

Kama Mteja wa (Premium User).
Unaweza tumiwa Meseji umeshinda Ofa ya Huduma bure kipindi fulani. Lakini ikifika wakati Hiyo Huduma inakua haipo. Ukipiga simu kuwauliza, wanachukua Details za King'amuzi na namba za simu.
Kisha wanakujibu subiri wanashughulikia mara moja.
Mfano Error 19.
Baada ya hapa, itafuata usumbufu maana hautaona chochote. Na kila ukipiga anakua mhudumu anataka umpe details upya.


Baada ya muda Mrefu ukiendelea kujipendekeza kuwapigia. Ndipo wanakujibu ofa ilikuja kwako kimakosa. Na hapa wanakujibu baada ya kuwasumbua sana.

Unajiuliza Ofa ilikujaje kimakosa bila wao kuwajibika. Unakosa pa kulalama.

Mwaka jana nililipia DSTV. Wakanijibu kwa ujumbe hela wamepata. Muda umefika hawakunipa huduma yangu ya premium.
Juzi nawapigia wanakataa kua hela haikufika kwao.

Lakini meseji ya kuwapelekea Hela niliwatumia na ina tarehe kabisa. Na wakaijibu kua wamepokea. Sasa nikisema hawa jamaa ni majambazi siwatusi.

Ni mara afadhali, Star Times wanajali wateja wao kwa 100%. Hawa wa DSTV ulimbukeni umewaelemea sijui wanajiona wazungu sana. Wapuuzi kwelikweli.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu mwaka Jana nilikua nieleze lakini kwasababu mbalimbali za uvumilivu nikaamua Kuvumilia.

Kama Mteja wa (Premium User).
Unaweza tumiwa Meseji umeshinda Ofa ya Huduma bure kipindi fulani. Lakini ikifika wakati Hiyo Huduma inakua haipo. Ukipiga simu kuwauliza, wanachukua Details za King'amuzi na namba za simu.
Kisha wanakujibu subiri wanashughulikia mara moja.
Mfano Error 19.
Baada ya hapa, itafuata usumbufu maana hautaona chochote. Na kila ukipiga anakua mhudumu anataka umpe details upya.


Baada ya muda Mrefu ukiendelea kujipendekeza kuwapigia. Ndipo wanakujibu ofa ilikuja kwako kimakosa. Na hapa wanakujibu baada ya kuwasumbua sana.

Unajiuliza Ofa ilikujaje kimakosa bila wao kuwajibika. Unakosa pa kulalama.

Mwaka jana nililipia DSTV. Wakanijibu kwa ujumbe hela wamepata. Muda umefika hawakunipa huduma yangu ya premium.
Juzi nawapigia wanakataa kua hela haikufika kwao.

Lakini meseji ya kuwapelekea Hela niliwatumia na ina tarehe kabisa. Sasa nikisema hawa jamaa ni majambazi siwatusi.

Ni mara afadhali, Star Times wanajali wateja wao kwa 100%. Hawa wa DSTV ulimbukeni umewaelemea sijui wanajiona wazungu sana. Wapuuzi kwelikweli.


Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sanaa mkuu ila kila service provider wa kinga'muzi ana kasoro zake tena Dstv angalau kidogo......jaribu hiyo startime ila usije tena na uzi mgine....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu mwaka Jana nilikua nieleze lakini kwasababu mbalimbali za uvumilivu nikaamua Kuvumilia.

Kama Mteja wa (Premium User).
Unaweza tumiwa Meseji umeshinda Ofa ya Huduma bure kipindi fulani. Lakini ikifika wakati Hiyo Huduma inakua haipo. Ukipiga simu kuwauliza, wanachukua Details za King'amuzi na namba za simu.
Kisha wanakujibu subiri wanashughulikia mara moja.
Mfano Error 19.
Baada ya hapa, itafuata usumbufu maana hautaona chochote. Na kila ukipiga anakua mhudumu anataka umpe details upya.


Baada ya muda Mrefu ukiendelea kujipendekeza kuwapigia. Ndipo wanakujibu ofa ilikuja kwako kimakosa. Na hapa wanakujibu baada ya kuwasumbua sana.

Unajiuliza Ofa ilikujaje kimakosa bila wao kuwajibika. Unakosa pa kulalama.

Mwaka jana nililipia DSTV. Wakanijibu kwa ujumbe hela wamepata. Muda umefika hawakunipa huduma yangu ya premium.
Juzi nawapigia wanakataa kua hela haikufika kwao.

Lakini meseji ya kuwapelekea Hela niliwatumia na ina tarehe kabisa. Na wakaijibu kua wamepokea. Sasa nikisema hawa jamaa ni majambazi siwatusi.

Ni mara afadhali, Star Times wanajali wateja wao kwa 100%. Hawa wa DSTV ulimbukeni umewaelemea sijui wanajiona wazungu sana. Wapuuzi kwelikweli.


Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi natofautiana na wewe kwa kiasi kikubwa

Na kutofautiana huku si kwa sababu nawapigia debe DSTV, ila kwa sababu nimekuwa mteja wa ving'amuzi karibu vyote Azam, Ting, Continental, Strong, Digitek, Startimes nk na mwisho wa siku I made Dstv as my best choice among all..

Naomba niseme kuwa, among all of these, in my opinion DSTV is the best provider of Direct Satellite Television kuanzia kwenye customer care, ubora wa TV channels na ubora wa muonekano wa picha ktk TV screen yako pamoja na mpangilio wa vipindi vyao kuliko hawa wengine..

Yeah, ni kweli kasoro za hapa na pale na kwa mtu mmoja mmoja ni obvious haziwezi kukosekana na hii ni popote na hata kwa sisi binadamu maana tumeumbwa wakati mwingine tunakosea....

Mfano moja ya kasoro ya DSTV ni ughali wa vifurushi vyao ambavyo vina - range kati ya Tshs 20,000 (for Bomba subscribers) hadi Tshs. 170,000 (premium subscribers kama wewe) kwa mwezi....

However, hakuna TV provider mwingine yeyote ambaye unalipia kifurushi kwa Tshs 19,500 (Bomba subscribers) na unapata channels zaidi 100 kwa mwezi achilia mbali huyu anayelipia 170,000 na kupata channels zaidi ya 300 na zote zikiwa clear bila chenga si Azam, Ting wala Startimes!!

Generally speaking DSTV are more better than all the others despite minor customer care cut - downs you experienced.

Hopefully, they have heard you and will work out to it for the benefits of all other DSTV subscribers who experienced the same problem as yours....

Na nyongeza tu ni kuwa, DSTV nadhani ndiye TV provider namba moja wa mwenye channels nyingi za kurusha matangazo ya mpira ya moja kwa moja (live) karibu ligi zote bora duniani i. e FA premier league (England), Serie A (Italy), LA liga (Spain), South Africa, Zimbabwe, Nigeria nk nk

Na hawa jamaa kwa vipindi vya world class entertainment kuanzia tamthilia, sinema, michezo mbalimbali (sports) hata ule maarufu wa mieleka ya kimarekani (WWE na TNA Impacts) nadhani wanaongoza na wengine wanafuata....
 
Unalipa halafu unaambiwa Error sijui nini, mbona startimes hakuna huu upuuzi?
 
Customer care ya DSTV ni nzuri.ila wakati mwingine ujuzi WA wanasaidia kusolve changamoto za kitaalamu zinapotokea wanababaisha wanababaika
 
Tangu mwaka Jana nilikua nieleze lakini kwasababu mbalimbali za uvumilivu nikaamua Kuvumilia.

Kama Mteja wa (Premium User).
Unaweza tumiwa Meseji umeshinda Ofa ya Huduma bure kipindi fulani. Lakini ikifika wakati Hiyo Huduma inakua haipo. Ukipiga simu kuwauliza, wanachukua Details za King'amuzi na namba za simu.
Kisha wanakujibu subiri wanashughulikia mara moja.
Mfano Error 19.
Baada ya hapa, itafuata usumbufu maana hautaona chochote. Na kila ukipiga anakua mhudumu anataka umpe details upya.


Baada ya muda Mrefu ukiendelea kujipendekeza kuwapigia. Ndipo wanakujibu ofa ilikuja kwako kimakosa. Na hapa wanakujibu baada ya kuwasumbua sana.

Unajiuliza Ofa ilikujaje kimakosa bila wao kuwajibika. Unakosa pa kulalama.

Mwaka jana nililipia DSTV. Wakanijibu kwa ujumbe hela wamepata. Muda umefika hawakunipa huduma yangu ya premium.
Juzi nawapigia wanakataa kua hela haikufika kwao.

Lakini meseji ya kuwapelekea Hela niliwatumia na ina tarehe kabisa. Na wakaijibu kua wamepokea. Sasa nikisema hawa jamaa ni majambazi siwatusi.

Ni mara afadhali, Star Times wanajali wateja wao kwa 100%. Hawa wa DSTV ulimbukeni umewaelemea sijui wanajiona wazungu sana. Wapuuzi kwelikweli.


Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu mimi tarehe 15 April walinitumia ujumbe kwenye decoder kwamba nikilipa Tsh. 109000 watanipa Kifurushi cha premium kwa siku 30. Si nikalipa. Leo wiki imepita kila nikipiga simu wanachukua details na kusema wanawasiliana na watu wa ofa hadi nimeamua kuacha sasa.
 
Mkuu mimi tarehe 15 April walinitumia ujumbe kwenye decoder kwamba nikilipa Tsh. 109000 watanipa Kifurushi cha premium kwa siku 30. Si nikalipa. Leo wiki imepita kila nikipiga simu wanachukua details na kusema wanawasiliana na watu wa ofa hadi nimeamua kuacha sasa.
Hii ndo shida yao kubwa na inawachafuliwa heshima sokoni.. ..wanatangaza offer lakini ukishalipa wanaanza kupiga danadana, matokeo yake offer utaipata one week before hiyo bundle haijaekspaya... Huu ni wizi wa waziwazi. Lakini kwa mengine dstv is the best..
 
Hii ndo shida yao kubwa na inawachafuliwa heshima sokoni.. ..wanatangaza offer lakini ukishalipa wanaanza kupiga danadana, matokeo yake offer utaipata one week before hiyo bundle haijaekspaya... Huu ni wizi wa waziwazi. Lakini kwa mengine dstv is the best..

Nakubali they are the best . Ila hii misrepresentation wana ifanya sio nzuri kabisaa. Nime wa mind sana.
 
Huko dstv kuna channel no.137 TNT AFRICA ndo inanifanya nilipe kifurushi cha 69,000 la sivyo nisingelipa hata thumni.

Kama kuna mtu ana maujuzi ya kupata hio channel anipe maujuzi wazee.
 
Back
Top Bottom