The guy has stoped to be a man kwa kweli! Though Tumeachana muda mrefu na kila mtu akawa na mahusiano mapya ananiharass! Nilipata mtu mwenye pato dogo kuliko la ex wangu ni fundi cherehani ana ka-workshop kake wakati ex alikuwa kazi nzuri, pato zuri na kagari. Jana from no where ameanza kunitumia msg kuwa hapati ucngz na ananipenda ila ako na msichana mdogo mdogo amepachika tatoo kila mahali zimeandikwa jina lake. Eti ananisikitikia kwa kujishusha hadh kutoka kulala hotel nyota tano mpaka gest za elfu 10, anataka kujua huyo fundi cherehani ako na nini kumzidi? Nilimjibu kuwa am happy with my man though he isnt rich na pia nafurahi kuwa amepata binti dogo dogo aliejichora jina lake kila mahali...nilipomjibu hvo akaanza kuniambia nina nyodo na kiburi na msg zangu zote pamoja na picha tulizopiga pamoja atazibandika hapa jf, fb na kwa notes board ya ninaposoma. Pia atazifanyia photo shop za wadada walio uchi aweke sura yangu aone nani ataumia kati yetu. Nimebaki na mawazo je kilichomtia hasira mpaka aje anisumbue na kunikashfu ni nini? Je wanaume mkiachwa na nafasi zenu kuchukuliwa na watu mliowazidi hasa pato inawakera eeh? Je akijaribu kuniphotoshop nimfanyeje? Nipeni mawazo wakuu...! Nyc weekend
yeah! Ful kumpotezea!
Aisee uyo ex angepigwa red 'X' chata,uson ili Gari la manispaa taka wakimuona wamzoe,akil fupi kama nanhii yake..shost usimuogope,usimjibu,usimpe chance ajue unahofu..akiweka picha,nawe edit zake akiwa anafanywa nyuma tena na mbuzi au mbwa,af umbandikie ofisin kwake,au wasiliana na wadaku wa magazet ,af tuone.coz za kike tushazoea,atest zali!..alaah me ayo matahira cyapatagi..kwa bahat njuli au mbaya myx,ni myfriend na bznes patner wangu,.if u cant fight me,join me rule,imeplay part!
Me uyo mtu kaniboa! Pole mwaya.
Aisee uyo ex angepigwa red 'X' chata,uson ili Gari la manispaa taka wakimuona wamzoe,akil fupi kama nanhii yake..shost usimuogope,usimjibu,usimpe chance ajue unahofu..akiweka picha,nawe edit zake akiwa anafanywa nyuma tena na mbuzi au mbwa,af umbandikie ofisin kwake,au wasiliana na wadaku wa magazet ,af tuone.coz za kike tushazoea,atest zali!..alaah me ayo matahira cyapatagi..kwa bahat njuli au mbaya myx,ni myfriend na bznes patner wangu,.if u cant fight me,join me rule,imeplay part!
Me uyo mtu kaniboa! Pole mwaya.
Really.!! "IF YOU CAN'T FIGHT ME, JOIN ME"... I like it...
the dead is tryn to resurect himself jamani!
Da pole. Usiwe unamjibu wala usitake afahamu life status yako kabisa. Badilisha line ya simu achana naye. For your peace!
the dead is tryn to resurect himself jamani!
ur ex is a gentleman! Ni wachache wanaweza kubehave that way! Thanx!
umeona ee...maisha yenyewe mafup,y kupeana stress bhanaa