BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
inaweza ikawa sio tatizo kama kila mtu ana hamsini zake. Lakini mnafuatana mpaka kwenye tags, ukicoment akuulize huyo nani? Thats too much wala haihitaji uende jf kupata ushauri!
jamani being your x doesnt mean is ur enemy. huyo anatakiwa kuwa rafiki yako ambae mnaweza kusalimiana, kusaidia pale mmoja anapokwama na hata kurudiana kama kuna haja ya kufanya hivyo!!n.k n.k. Hayo mambo ya kukerwa kwenye USOKITABU wala si tatizo kubwa, muache tu aendelee na pale unapoweza kumjibu mjibu tu atachoka mwenyewe