Asnam
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 4,256
- 2,949
Asnam
sasa hapo shost unakosea,huyo dada hana mpenz kwa sasa....she can decide on her own....lakini kama yupo kwenye mahusiano mapya..kwa hali ya kawaida tu lazima itamuumiza mwenzie make itaonesha she's still in love kwa mshkaji...lakini kama yupo singo kama alivyojipambanua hapa...amsaidie tu...inawezekana jamaa ana shida kweli...huwezi jua....
LAKINI,kuna kitu nakifahamu nyuma ya hilo(siamini kama kweli jamaa anataka mkopo kwa kuwa ana shida na amekosa pengine,ila ameona huyu dada bado kama 'anajipendekezapendekeza' kwake....kwa kufahamu bado anampenda kaamua kuwa awe anampiga hata mzinga kumfariji dada wa watu)
Halafu,kwa nini na wewe uendeleze mawasiliano na mume wa mtu? unatafuta nini? bora basi kama ni Ex na bado yupo sigle....lakini jamaa kaoa tayari...haina maana hata ya kuendelea kuwasiliana nae....
Siku mke wa jamaaa akigundua itamuuma sana.....(talking from my experience)
Ni hayo tu!
cc Munkari
kumbe mtoa mada ni ''ke'' kwangu mie haijalishi ukishaitwa x mawasiliano ya kukopeshana yanatoka wapi jamani,ye kama anampa ampe msaada kama katoa kituo cha kulelea watoto yatima lakini,bandubandu.............hako katabia kataendelea tu tena ukiwa single ndo kabisaaaaaaa unajikuta mnarudisha majeshi tamaa za mwili ni kitu kingine na ubongo ni kitu kingine.