My ex anataka nimwazime hela!

My ex anataka nimwazime hela!

Unachokifanya sio vibaya na wala si sahihi pia, unausemea moyo.

Kwa kifupi Munkari, ni kuwa bado unampenda mbaya!
 
Last edited by a moderator:
::
True love never die
=

well said Tetra
huyu anajisumbua tu Bado anampenda ex wake na hiyo ni real love,
mpe tu bibie acha kubabaika na dunia..mpe mrudiane vizuri
 
Last edited by a moderator:
Kama alikuhudumia vizur wakat wa uhusiano wenu na mkaachana kwa amni c mbaya hata kumrudishia fadhira maana u never know mpaka akuambie anamatatizo uweza ikawa n ya kweli ma amekosa msaada kila sehemu ww ndio tegemeo lake la mwisho,mm ex kama akiwa na shida na uwezo ninao namsaidia kuwa ex haimaanish msaada ushindwe kumpa je ingekua n ofc umeenda kuomba kaz yeye mkubwa hapo je ungefurah akunyime kaz sababu kuu ikiwa ww ni ex wake!!!!?
 
kwa upande wangu sifahamu nani alimuhacha mwenzake au ni kitu gani kilisababisha mkaachana. ila kwa ufahamu wangu mimi upande ambao umehacha yani kama mwanaume ndiye aliyekuhacha na wewe ukiwa bado unamhitaji basi hilo analifahamu fika kwamba ur still falling for him na hilo tu linatosha kabisa kuhepusha kuhusisha pesa kati yenu nyinyi wawili. utamsaidia kwakuwa unampenda na sio kwakuwa una uwezo wa kumsaidia na hivyo utabaki kuwa mtumwa kwake. na as fo him will take u for granted.
 
Kwa kuwa umesema uwezo wa kumwazima hiyo hela anayotaka unao, na kwa kuwa hamkugombana katika kuachana kwenu, basi unaweza kumwazima hiyo hela lakini kama alivyoshauri mmoja wa wanaJF hapa kwamba husimdai. Unaweza tu kumuuliza ni lini atakurudishia, akishataja tu mpatie hiyo hela na kumsisitiza kuzirudisha hata ikibidi kidogokidogo. Ila ukishampatia kauka uone atarudisha ama la!

Asiporudisha, jua kwamba alikuwa anatafuta gear ya kukurudia kiaina, hivyo kaa mbali sana naye kuanzia hapo...
 
We pokea cm yke tu, kwasababu hamkugomban, na ela mwazme km unayo
 
Jibu kuwa umechacha, usijisikie vibaya yeye kukuona hauna hiyo itamfanya asiombe ombe. Jibu kwa text
 
well said Tetra
huyu anajisumbua tu Bado anampenda ex wake na hiyo ni real love,
mpe tu bibie acha kubabaika na dunia..mpe mrudiane vizuri

kurudiana naye itakuwa ngumu
 
Last edited by a moderator:
Kama alikuhudumia vizur wakat wa uhusiano wenu na mkaachana kwa amni c mbaya hata kumrudishia fadhira maana u never know mpaka akuambie anamatatizo uweza ikawa n ya kweli ma amekosa msaada kila sehemu ww ndio tegemeo lake la mwisho,mm ex kama akiwa na shida na uwezo ninao namsaidia kuwa ex haimaanish msaada ushindwe kumpa je ingekua n ofc umeenda kuomba kaz yeye mkubwa hapo je ungefurah akunyime kaz sababu kuu ikiwa ww ni ex wake!!!!?

atazoea ati mwisho mkewe aje ajue kuwa miye nimempa mmew pesa itakuw problem kwangu i don lyke it!
 
We pokea cm yke tu, kwasababu hamkugomban, na ela mwazme km unayo

mh nikimpa atanizoea then atajenga mawasiliano nami tena ki2 ambacho ctak sababu ye anaona kawaida sababu cjawahi kumwambia kama kuachana kwe2 imenipain but ukweli ndo huo iliniuma so nikimpa hyo hela nahc itaniuma zaid .
 
Kwa kuwa umesema uwezo wa kumwazima hiyo hela anayotaka unao, na kwa kuwa hamkugombana katika kuachana kwenu, basi unaweza kumwazima hiyo hela lakini kama alivyoshauri mmoja wa wanaJF hapa kwamba husimdai. Unaweza tu kumuuliza ni lini atakurudishia, akishataja tu mpatie hiyo hela na kumsisitiza kuzirudisha hata ikibidi kidogokidogo. Ila ukishampatia kauka uone atarudisha ama la!

Asiporudisha, jua kwamba alikuwa anatafuta gear ya kukurudia kiaina, hivyo kaa mbali sana naye kuanzia hapo. asante kwa ushauri wako!
 
@myroom320, You are real right! Alinitext kuw ameshaoa baada ya kumtafuta kwa muda mrefu.so from that day nkaendlea na mambo yangu japo iliniuma sana.ndio maana sitaki kumsaidia wala kuwasiliana naye tena.
 
Back
Top Bottom