My confession

Mie nililelewa mazingira ya kidini sana
Kwahiyo hawakuwa na hofu kwani hadi naenda chuo nishajua jema na baya na still nilijitunza
Basi tu shetani akiamua kukuwinda atahakikisha anakupata kwenye angle yake
Unamaanisha nini ukisema ulilelewa kwenye mazingira ya kidini na ulishajua jema na baya?

Una maana kwamba ulijua kuwa ukit*mbwa bila kinga utapata mimba ukaamua kupuuzia tu au?
 
pole sana mmi nilipokuwa undergraduate nilikutana na katoto kapo form two kazuri nilikatia mimba zisizopungua tisa sasa kameolewa na jamaa namwonea huruma mana yule sio wa kuoa
 
Ni kweli usemalo mkuu. Katika kuchagua twawasihi dada zetu wawe makini. Wasitizame sifa za mtu za kidunia,
Watizame mwanaume wake kweli ana hekima na upendo kwa binadamu wote.

Wasichana mimi niwaambie kitu, ukiona bwana wako mwepesi kugombana na fulani na ni mwepesi kutukana kwa hasira, jua ipo siku ukiishiwa thamani atakufanyia hayo na wew.

So, fikirini moyo wa mtu zaidi kuliko muonekano wake kabla ya kumpenda awe mpenzi.
Pole sana dada huyo mtoto amesikia kitubio chako na hatokuzuia kupita kwenye mlango wa paradiso

Na wanaume wa namna hiyo wako wachache sana ila huaribu wanawake wengi kwa maana wanaume wapole hawapendwi na wanawake wengi

RIP bazazi popote ulipo
 


Upo sahihi
 
pole sana mmi nilipokuwa undergraduate nilikutana na katoto kapo form two kazuri nilikatia mimba zisizopungua tisa sasa kameolewa na jamaa namwonea huruma mana yule sio wa kuoa
Utubu na wewe kwani nawe hiyo dhambi itakutafuna one day.
 
Mauaji kama haya wamefanya watu wengi sana.

Na inawaumiza sana haswa ikitokea anashindwa kupata mtoto wa pili au hapati kabisa
 
Niliwahi kutana naye kwenye semina Arusha likataka leta mazoea,nikamwambia kama unataka nikudhalilishe jaribu hata kunisogelea,akaondoka akaenda ungana na wengine.
huna haja ya kuwa na hasira nae.....inawezekana ndio maana inakutesa...futa delete....songa mbele...hata yeye anajuta huko aliko....hajajua were to confess.......na je mbele za Mungu ulilisogeza na kulifuta huko......???
 
huna haja ya kuwa na hasira nae.....inawezekana ndio maana inakutesa...futa delete....songa mbele...hata yeye anajuta huko aliko....hajajua were to confess.......na je mbele za Mungu ulilisogeza na kulifuta huko......???
Yes wakati natafuta mwanangu wa kwanza nilitubu,manake ilinichukua miaka Kama mitatu nikawa siconcive,ila Mungu alisikia kilio changu akanijalia kijana wangu wa kwanza baada ya toba hiyo.
 
Hongera mpendwa..kukosea sio kitu kibaya cha kukufanya ujihukumu..
Bila kufanya makosa tungejifunza vipi?
Bila funzo ulopata ungekuja kuwafunza na kuwashauri nini wanao au hata vijana wengine?
Hakuna dhambi iliyosalia msalabani..Mungu amekusamehe kuwa na amani!
 

Pole kwa yote.
Halafu umepotea sana.
 
Bibi kwa hutu tuvisa na mikasa haujambo,
Haya na wewe leo hebu tukomfisie basi hata zambi moja uliyofanya katika kipindi chako cha uchakaramu.
 
I lost my niece kwa huo upumbavu wa kutoa mimba. A grown up girl decides to abort lakini hata hajui athari za utoaji mimba, angefuata basi njia sahihi akawaona madaktari apewe prescription zinazoeleweka.

Upumbavu wa hali ya juu, ila wahamasishaji wakiwa vijana wa kiume, unamtia mtoto wa watu mimba wakati huna hata uwezo wa kununua kijiko..
 
Yupo vizuri kwa vimikasa vya hapa na pale huyu sista[emoji23][emoji23][emoji23]
Leo ngoja tumkomalie atupe na yeye ushuhuda wake, naomba mkuu na wewe unisaidie kwa hili.
 
Yes wakati natafuta mwanangu wa kwanza nilitubu,manake ilinichukua miaka Kama mitatu nikawa siconcive,ila Mungu alisikia kilio changu akanijalia kijana wangu wa kwanza baada ya toba hiyo.
pia msamehe yule jamaa,,, mfute kabisa kama hujawahi (hamjawahi kuzini) muone like young bolibo broken by insects, so u need kupulizia dawa angalau likaliwe sokoni.....pole sana.....wengi mnapitia huko na wangine ni michezo yao.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…