Stanshirima
Member
- May 11, 2011
- 17
- 7
Vipi ulifanikiwa kufanya biashara hii, ili nichukue uzoefukwako
Mkuu nina uzoefu wa 5yrs usiombe hii kitu ni pasua kichwa sanaHivi huwa zina faida wakuu? Ni jambo kuna mdau huwa analisema sema kuhusu kufungua najiwazia inafaida kweli ukizingatia viduka ni vingi kila baada ya mtaa kuna kiduka cha mangi cha basic needs....
Sasa wewe mbona umeweza kukomaa 5yrs?Mkuu nina uzoefu wa 5yrs usiombe hii kitu ni pasua kichwa sana