Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,786
Tuna miaka minne ya kuingia kwenye uchaguzi na kwa walio wengi bado ndoto ya kuiondoa CCM haijafa na kwanza ndio inakua.
Mabadiliko ya katiba in reality yanachukua muda mrefu sana, unless we need to rush into it na serikali iwe pamoja na wapinzani kitu ambacho si hakipo.
Ninavyoona naona kama pressure ikiwekwa kubadili tume ya uchaguzi angalau kunaweza kukawa na tumaini zaidi ya kuindoa CCM. Kwa mawazo yangu ya haraka ambapo nahitaji mwongozo kwa wanaojua je,
1. Kubadili tume ya uchaguzi ni lazima katiba ibadilike?
2. Je kama katiba ibadilishwe kwanza ndio tume ibadilishwe , je haiwezekani ikafanyika pressure ya kujadili ili kwanza?
3. Kama tume ya uchaguzi inaweza kubadilishwa kwa sasa naona kama ni vizuri tukaanzia hapo ili hali main objective/ajenda ya kubadili katiba isifutwe.
4. Hata kama katiba itabadilika kesho, we may have another time to implement it accordingly..that
Siasa za Afrika ni nani anatangaza matokeo ndio muhimu zaidi, si nani ameshinda
What do you think?
Mabadiliko ya katiba in reality yanachukua muda mrefu sana, unless we need to rush into it na serikali iwe pamoja na wapinzani kitu ambacho si hakipo.
Ninavyoona naona kama pressure ikiwekwa kubadili tume ya uchaguzi angalau kunaweza kukawa na tumaini zaidi ya kuindoa CCM. Kwa mawazo yangu ya haraka ambapo nahitaji mwongozo kwa wanaojua je,
1. Kubadili tume ya uchaguzi ni lazima katiba ibadilike?
2. Je kama katiba ibadilishwe kwanza ndio tume ibadilishwe , je haiwezekani ikafanyika pressure ya kujadili ili kwanza?
3. Kama tume ya uchaguzi inaweza kubadilishwa kwa sasa naona kama ni vizuri tukaanzia hapo ili hali main objective/ajenda ya kubadili katiba isifutwe.
4. Hata kama katiba itabadilika kesho, we may have another time to implement it accordingly..that
Siasa za Afrika ni nani anatangaza matokeo ndio muhimu zaidi, si nani ameshinda
What do you think?