Hahahahaha...... Hivi kwa tukio kama lile kama hamna wakubwa wanaohusika jamani tuseme tu ukweli upepelezi usingefanyika wa maana ili kujua mbivu na mbichi?, hivi kweli kabisa tukio kama lile eti upepelezi ushindwe kukamilika kisa Dereva ambaye alikuwa hapo kenya tuu hata kwa mguu unamfuata? Hivi kweli kama hawahusiki na jambo lolote hata mahojioano anayoyafanya huko wanatumwa kumjibu wangepata kigugumizi? Kweli mnataka mtuambie mmeshindwa kujua ukweli wakat mlisema mnajiweza basi semeni hao wapelelezi kutoka nje waje watuambie ilikuaje, ili kama T.L alijipiga mwenyewe tujue, kuliko kuanza kuzungushana na maswali mengi wakati uwezo wa kupata majibu tunao, huwa tunaambiwa serikal ina mkono mrefu, umeshindwa kuutumia kupata ukweli tusimung'unye maneno hapa, aanze kukuonyesha matundu ya risasi ili ugundue nini wakat ameshapona ungetaka kuyaona hayo matundu alikuwa hapo Kenya muda gani au wakat huo wazo la matundu alikuwepo? Hahahah mlijua mmemaliza safari kumbe ndio inaanza