Kitondo
Member
- Jul 10, 2019
- 62
- 145
Wakuu amani iwe nanyi. Huyo mdau nlie mtaja hapo juu natumai wengi wenu mnamjua. Ni msaada mkubwa kweli hasa kwa sisi wakununua ama kufanya malipo abroad. Ni mtu mwaminifu kupitiliza na aliye tayari kupoteza muda wake ili mradi tu lile hitajio lako litimie. Nmekuwa namtafuta kwa njia nyingi lakini hapatikani. Ndugu zangu, je huyu jamaa yuko salama?
Kama kuna mwenye kujua lolote naomba atujuze. Na pia kwa aliye karibu naye amwambie tumemkosa sana.
Wassalaam.
Kama kuna mwenye kujua lolote naomba atujuze. Na pia kwa aliye karibu naye amwambie tumemkosa sana.
Wassalaam.