Mwl. Mwakasege VS Mwamposa

Mwl. Mwakasege VS Mwamposa

MzeeKipusa

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2023
Posts
2,705
Reaction score
4,971
Hahahahahah Mwakasege bana.....

Huyu jamaa ana wivu sana na Mwamposa.....anatabia ya kung'ata na kupuliza.....I mean...anapenda kumponda Mwamposa kwà waumini wake kisirisiri......afu akimaliza anawaomba sadaka.


Kuna siku nilimsikia akisema...siku akitoa somo la birthdaycake..watu watashangaa sana....akasema ni mambo ya giza na ya ajabu sana...afu baada ya hapo akachomekea...watoe sadaka....nikabadiri kabisa na chanel yake...

Hivi mnapata nini kuchonganisha waumini? Mbona Mwamposa huwa hawasemi vibaya kama mnavyomsema?

Sema nini....sio case...Mwamposa anaupiga mwingi sana...mtasubiri saaaaana!!!


Kama mmenielewa semeni ..." AYAYAYA!!!!"
 
Ukiona wachungaji sijui manabii wanasemana sababu kuu ni sadaka ila kila mtu na imani yake bwana mwakasege namkubali sanaa na mwamposa pia ila kusali kanisa langu kkkt siachi
Jamaa simuelewagi kabisa mafundisho yake...is like...mtu ambae kasoma kitabu cha THINGS FALL APART afu anakuja kutusimulia kilichoandikwa kwenye hicho kitabu kwà kutumia Akili yake.
 
huyu ni mwalimu na yule ni mtume. usiwafananishe/linganishe
Watu walishachoka kusikia ma historia....watu wanataka kuona experience.

Sio kuwasimulia historia...afu vitu havitokei...unachukua sadaka unaondoka..

Tunataka kuona experience...I mean...Neno lipenetrate kuanzia kwenye ngozi, nyama, mifupa mpaka kule kwenye urojo wa ndani ya mwili na kitokee kitu kwenye maisha ya mtu.
 
Hahahahahah Mwakasege bana.....

Huyu jamaa ana wivu sana na Mwamposa.....anatabia ya kung'ata na kupuliza.....I mean...anapenda kumponda Mwamposa kwà waumini wake kisirisiri......afu akimaliza anawaomba sadaka.


Kuna siku nilimsikia akisema...siku akitoa somo la birthdaycake..watu watashangaa sana....akasema ni mambo ya giza na ya ajabu sana...afu baada ya hapo akachomekea...watoe sadaka....nikabadiri kabisa na chanel yake...

Hivi mnapata nini kuchonganisha waumini? Mbona Mwamposa huwa hawasemi vibaya kama mnavyomsema?

Sema nini....sio case...Mwamposa anaupiga mwingi sana...mtasubiri saaaaana!!!


Kama mmenielewa semeni ..." AYAYAYA!!!!"
Huna Akili kumfananisha Mwalimu Mwakasege na huyo Mtume Wenu ni sawa na Kumfananisha Lionel Mwakasege Messi wa PSG FC ( France ) na Clement Mwamposa Mzize wa Yanga SC ( Tanzania ) sawa?
 
Aposto kuna muujiza huku..!!

Anyway namkubali sana Mwalimu Mwakasege,masomo yake yamenivusha pakubwa. Hayo mengine sijui kwa kweli.
Nini kimetokea?


Sikia mtu wangu...Neno la Mungu ni kama upanga...kama kweli limo ndani ya mtu na likamtoka kwenye kinywa chake...lazima kitendeke kitu...ishara, miujiza, maajabu lazima vitokee....sio makelele tu!
 
Mwakasege na mwamposa!?!?!?! Moja na mia.... Halafu mwakasege kwenye mafundisho yake ajikute anamsema mwamposa!?!! Ebu njoo na huo ushaidi....

Kumbuka Mwakasege hana kanisa yeye anafanya huduma zake kwa njia ya semina au ameandaa au amepata mialiko..... huyo mwingine ana kanisa... Wanaendana vipi?

Acha majungu kaa unapo paamini
 
Huna Akili kumfananisha Mwalimu Mwakasege na huyo Mtume Wenu ni sawa na Kumfananisha Lionel Mwakasege Messi wa PSG FC ( France ) na Clement Mwamposa Mzize wa Yanga SC ( Tanzania ) sawa?
Vipi kuhusu nyomi? Check la Mwamposa....daah kama la Yesu kabisa yani!

Nani mtenda miujiza?? Utasikia watu " YESU"

Na wewe nasema pokea watoto mapacha!!!! AYAYAYA!!!!
 
Back
Top Bottom