Mwl. Mwakasege: Vijana epukeni kujibizana kwenye Social Media

Yani ukibatizwa na maji mengi ndio unakuwa umeokoka?
Mi huwa na shangaa watu akisema ubatizo wa maji mengi ndio sahihi.. Wetu sisi wa kwenye vikarai feki, sijui imeandikwa wapi.? 😁 😁... Unajua Kuna wakristo hatutaki kujifunza neno na kuuliza Roho Mtakatifu what is right, Bali tunashikilia mapokeo ya waasisi wa dhehebu... Mara ohh.. Yule aliambiwa Siku ya kuabudu jmosi, huyu anasema maji mengi ndio ubatizo alafu wote wanaitwa wa wakristo... Wakati Yesu Kristo alie msingi wa Imani haongelea popote katika mafundiaho yake... Acheni kushadadia dhehebu...hakuna dhehebu linamuhakikishia mtu Mbingu... Ni Yesu Kristo pekee alie njia kweli... Dhehebu ni kama vyam a vya siasa... Bali amwaminie Yesu na kushika neno lake huyo ndio mwana wa Mungu....na ndie atamwona Mungu Siku ilee🙏
 
kasema kuna nuru ya kweli na nuru feki. Hii nuru feki inaigiza nuru ya kweli ili ifanye uharibifu. Sawa, yeye kama mfuasi wa nuru ya kweli na anaihubiri, vipi kuhusu ubatizo wa maji mengi mbona hajawahi kufundisha hilo kama ni hitaji la kutimiza haki yote ya maisha ya wokovu?

L
Mlaghai, akihubiri anaogopa atakosa waumini wasio kubali ubatizo
 
Ila huyu babu naye alikuwa mshenzi wa tabia. Dark side yake inatisha. Kwa maana hiyo binadamu sio wakumuamini kabisa.

Ila Mwl. Mwakasege alifikaje mbinguni bila umauti kumkutaa? emu tuambie ndugu MzeeKipusa kwenye thiolojia imekaaje hii
Jamaa alikua anaupiga mwingi tu kwà kondoo wake . Si unajua watu wengi siku hizi wanatamani kwenda Mbinguni kirahisirahisi!..so watumishi wengi now wamekuja na style ya kuwaambia wanachotaka kukisikia kwenye masikio yao ili kuwafanya wasiwakimbie.

Siku hizi zile swaga za kupiga watu ngwala zimepungua...yani kuna vitu vinafanyika makanisani..na ukijaribu kuvicompare na matendo ya Yesu Kristo aliye hai..haviendani kabisa.
 
Mi huwa na shangaa watu akisema ubatizo wa maji mengi ndio sahihi.. Wetu sisi wa kwenye vikarai feki, sijui imeandikwa wapi.? ... Unajua Kuna wakristo hatutaki kujifunza neno na kuuliza Roho Mtakatifu what is right, Bali tunashikilia mapokeo ya waasisi wa dhehebu... Mara ohh.. Yule aliambiwa Siku ya kuabudu jmosi, huyu anasema maji mengi ndio ubatizo alafu wote wanaitwa wa wakristo... Wakati Yesu Kristo alie msingi wa Imani haongelea popote katika mafundiaho yake... Acheni kushadadia dhehebu...hakuna dhehebu linamuhakikishia mtu Mbingu... Ni Yesu Kristo pekee alie njia kweli... Dhehebu ni kama vyam a vya siasa... Bali amwaminie Yesu na kushika neno lake huyo ndio mwana wa Mungu....na ndie atamwona Mungu Siku ilee
Exactly. To be Jesusfied!
 
Nichukue nafasi hii kuwakaribisha Pius High School. Ni shule ya kutwa na Bweni yenye mazingira Bora sana. Tunapokea wanafunzi wa KIDATO Cha Tano Kwa muhula wa masomo 2023/2024 katika tahasusi zifuatazo PCB, PCM, CBG, EGM, HKL, HGL, HGK, PGM na HGE. Uteuzi unategemeana na matokeo ya KIDATO Cha nne 2022. Muombaji anatakiwa kuwa na angalau D mbili katika tahasusi anayotaka kusoma na matokeo ya jumla ya daraja la tatu. Tunapokea pia wanafunzi wa kuhamia Kwa KIDATO Cha kwanza, tatu na sita Kwa mwaka 2023. Ada zetu ni nafuu na hulipwa Kwa awamu. Kwa maelekezo zaidi, tafadhali wasiliana nami 0613162459. Shule ipo kata ya Toangoma-mbagala, Dar es salaam. Karibuni.
Ok
 
ACHA habari hizi Ndugu! I know what I am talking about...

Kuna siku niliwahi kufanga kavu kwà siku sita mfululizo...bila maji wala chakula....

Nilikua nikienda mlimani wakati wa day time na kushinda huko siku nzima nikiwa juani.

Kuna siku Kati ya hizo 6 ...nilikua nasali..ghafla ikaingia lugha kama ya kiebrania...maana kuna maneno kadhaa niliyakariri na kwenda kuyahakiki kwenye google maana yake...nikakuta ni ya kiebrania....nilidumu katika ile lugha kwà miezi kadhaa kisha ikakata maana nilikua sijui nilichokua natamka. Ilikua ni lugha ambayo ni unique ...sijawahi kumsikia mtumishi yeyote akitamka maneno yale
Mkuu inaonekana ulishuka ukiroho ndio maana ukaacha kinena kwa lugha, pia kwa kuwa watu wananena mara kwa mara yanakuwa mazoea hata asipokuwa rohoni naye ananena tu lakini si katika roho na kweli
 
Back
Top Bottom