Mwizi wangu namjua, nipeni mbinu za kumkamata

Tuma hela kwenye namba yake jitahidi iwe ya kumshawishi halafu kausha kimya mpaka kesho yake.

Ikifika kesho mpigie, mwambie kuna hela uliituma kimakosa kwake, mwambie kama bado ipo akurudishie nusu,ila kama keshaitumia basi ni sadaka. Hapo kama demu ni lidangaji litasema liliitumia, baada ya hapo chati nalo mara mojamoja nataka sitaki kama wiki nzima halafu siku liombe mkutane, nakwambia litajileta lenyewe.
Cheers bro! umenitisha, nitatumia hii.
 
Tuma hela kwenye namba yake jitahidi iwe ya kumshawishi halafu kausha kimya mpaka kesho yake.

Ikifika kesho mpigie, mwambie kuna hela uliituma kimakosa kwake, mwambie kama bado ipo akurudishie nusu,ila kama keshaitumia basi ni sadaka. Hapo kama demu ni lidangaji litasema liliitumia, baada ya hapo chati nalo mara mojamoja nataka sitaki kama wiki nzima halafu siku liombe mkutane, nakwambia litajileta lenyewe.
Kuna bongo movie niliiona last week ina story kama hii.
 
Mshkaji wangu naye alipigwa hivo hivo December,simu mbili na cash 300000+
Nadhani wanatia dawa ktk Kinywaji wakiwa wanajifanya kujibebisha kukumiminia.
 
Wewe tayari utakuwa umeungwa grid ya taifa...

Hebu ukipita muda check na afya yako...
 
Wew ni mfano wa ng’ombe wa kijiji kila mmoja ata kukamua ukikatisha juu ya macho yao.

Brother kunivitu vingi vya kufanya kabra aujumuamini mpita njia tena uliekutana nae kwenye kiza kinene, mkisindikizwa na pombe za kutoka ughaibuni kwa jina la vijana wa tips wanaita (import)...
Pole na karibu Mjini..

Hukuwekewa dawa nahisi ni tishu ndo ilikufanya ukazima kama mshumaa ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom