Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,757
Mshahara wa malaya huo 😀😀
Cheers bro! umenitisha, nitatumia hii.Tuma hela kwenye namba yake jitahidi iwe ya kumshawishi halafu kausha kimya mpaka kesho yake.
Ikifika kesho mpigie, mwambie kuna hela uliituma kimakosa kwake, mwambie kama bado ipo akurudishie nusu,ila kama keshaitumia basi ni sadaka. Hapo kama demu ni lidangaji litasema liliitumia, baada ya hapo chati nalo mara mojamoja nataka sitaki kama wiki nzima halafu siku liombe mkutane, nakwambia litajileta lenyewe.
inapatikana na profile picture ni yeye.Hata namba aliyokupa ni feki,alikuwa anajua ni nini anafanya
Kuna bongo movie niliiona last week ina story kama hii.Tuma hela kwenye namba yake jitahidi iwe ya kumshawishi halafu kausha kimya mpaka kesho yake.
Ikifika kesho mpigie, mwambie kuna hela uliituma kimakosa kwake, mwambie kama bado ipo akurudishie nusu,ila kama keshaitumia basi ni sadaka. Hapo kama demu ni lidangaji litasema liliitumia, baada ya hapo chati nalo mara mojamoja nataka sitaki kama wiki nzima halafu siku liombe mkutane, nakwambia litajileta lenyewe.
NakaziaAcha upigwe tu, unaingiaje mzima mzima kwa demu ulikutana nae pub
hongeraNakazia
Kwa lipi?hongera
Vimeumanaa...alijiona amepataKula kimasihara imezalisha kupigwa macho matatu kimasihara
Angefanikisha angekuja kutamba humu